Mwana labda vipindi kama ICU\ SHILAWADU unaweza mchukilia poa Kwissa(kamanda mzee mkavu) kuwa si lolote ni mbea tu wa mjini
Ila ukweli utabaki kuwa jamaa ni mwanzilishi wa vipindi vingi vikubwa vya TV nchini, vipindi vya zamani na vipya
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Ebhana Ehh : Picha na Maelezo kama vinavyoonekana kwa huyu msaliti hapa naona anazidi kujilamba lamba na ccm ameshajua fika hata vunjo hawamtaki anakula mshahara wa bure na kusinzia tu bungeni ikumbukwe mwaka 2018 wananchi wa vunjo wenyewe walichanga billion2 kwa ajili ya kurekebisha barabara...
Huyu ni mbunge wangu wa vunjo ila mwaka huu kura za wananchi wake atazisikia kwenye bomba yupo kama hayupo tokea ashike madaraka hakuna alilolifanya na hata mkutano jimboni kwake kuongea na wananchi ameshindwa kufanya sitarudia makosa 2o2o
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.