Habarini wana Jamvi?
Naomba kusaidiwa hapa, kama tunavyojua ili taifa liendelee kulipa kodi ni swala lisilopingika. Na ukizingatia hata Mhe Rais amekua akihimiza wananchi kudai au kutoa risiti pale manunizi au mauzo yanapofanyika
Mimi ni mmoja wa waumini wakubwa wa kodi, lakini napata tabu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.