Recent content by THE TALK

  1. T

    Wafanyakazi Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii wafungiwa nje

    Hahahaaaa...eddo!! Mi nadhani tatizo la msingi kwa nn huduma za afya zinazolota hajalifahamu.....
  2. T

    Lowassa funguka kila kitu kuhusu Richmond, CCM wanapanga kukuanika

    Wakifanya huo ujinga mambo mawili yatatokea; 1)itabid kuwaubua hata viongoz wakuu wa ccm na srkl bse kama n deal alipiga na viongoz wengine 2)wenye akili wote watahoji uhalali wa hlo file....walisubl ahame chama ndo hlo file liandaliwe? Kwa nn wasilipeleke mahakaman? Wanasubili nini na nani?
  3. T

    Huyu ndiye Mwenyekiti wa CHADEMA aliyekuwa apinduliwe kwa kuwa too local

    Mbona akili yako aionyeshi kuwa ni independent sasa? Ungeonyesha ameuaje upinzani ndotungekuelewa...chadema wamefanya sasa za uharakati since then...na leo wakipata watu wanaweza ku back up juhudi zao za kukamata dola lazima waunge kushirikiana nae ili kuitekeleza hata falsafa yao ya kupinga...
  4. T

    Huyu ndiye Mwenyekiti wa CHADEMA aliyekuwa apinduliwe kwa kuwa too local

    Sasa we uliyesoma una nn cha maana umefanya kumzidi mbowe? Kiingereza chenyewe cha hovyoooooo....
  5. T

    CHADEMA mmefanya kazi kupita kiasi

    Wamefanya watz kuanza kuhoji na kufatilia mambo ya nchi kuliko kipind chochote tangia demokrasia ya vyama vingi iingie nchini.....
  6. T

    Utafiti: Mnyika kurudi bungeni ni 100%

    Is that all you can share with us....kwenye utafiti ka huu? Tatizo sio lako...tatizo n div 5 tuuu
  7. T

    Utafiti: Mnyika kurudi bungeni ni 100%

    Sa wananchi kama hawaoni relationship iliyopo kati ya matatizo waliyonayo na kuomba mwongozo bungeni basi ni tatizo la akili ndogo tuuu!!!! Kwani walimchagua akasemee wapi hayo matatizo yao????
  8. T

    Utafiti: Mnyika kurudi bungeni ni 100%

    Matatizo ya div 5 ndo kama yako.....kazi ya kikatiba ya mbunge ni kutunga sheria, kuisimamia na kuishauri srkl kweny mambo ya kimaendeleo...kiuchumi kinacho justify presence of any govt ni provision of social services kupitia kodi!!! Suala la tatizo upatknaj wa maji ubungo ni la srkl...mbunge...
  9. T

    Maaskofu wa mitaani, mjipime

    kwan sifa za kuwa askofu n zipi? kwa kuwapima kwa vigezo vp hadi kuitwa wa mitaani? mleta hoja acha ushabiki wa kijinga........zungumzia kile kilichoamuliwa na maaskofu alaf kukarukwa na pengo.....hyo ndo hoja huo ----- mpelekee mmeo
  10. T

    Don't Shout Argue - Mbowe ameitendea haki falsafa hii

    Hahahahaaaa i can't believe this....laki si pesa ni wewe kweli au?
  11. T

    Kikao cha CCM ikulu ya Dodoma muda huu kupitia mapendekezo ya PAC

    Hahahaaa ni upi huo msimamo kaka?
  12. T

    Prof. Muhongo: Sijiuzulu sakata la Escrow vinginevyo ardhi ya Tanzania itatikisika

    Eeeeh we nawe ni kiazi...kwa hyo wizi uhalalishwe na umma ukae kimya kisa eti pesa zilizoibiwa sio za umma? What useless comment have you posted? Kwanza hata kama sio pesa za umma bado umma unawajibika kulinda mali ya mtu mwingine kulingana na katiba ya jamhuri sura ya 1, ibara ya 27, ibara...
  13. T

    Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

    Dr slaa ndo right person kwa nchi hii
  14. T

    Ufisadi wa kutisha

    Huu nao ni utekelezaji wa ilani wa ccm....serkl sikivu kabisa....wanakula bila kunawa na bado wanajiandaa kuongoza nchi wanayotafuna kila kukicha!!! Hata kama tungekuwa na sera na mikakati mizuri namna gani...bila kubana matumizi ya hovyo na mianya ya rushwa kama hii....sahau nchi kwenda...
  15. T

    Huyu ndiye Wilfred Muganyizi Lwakatare, Engaju ya Bukoba

    Harakati za Rwakatale haziwezi kuacha kukumbuka vile alivyopigania haki na kutambuliwa kwa vijana wa bodaboda mwanzoni mwa miaka ya 2000 hapa bukoba.....!!! Kisa cha kufurahisha kwenye harakati zake ni kuungwa kwake mkono na Aman kipindi akiwa katibu wa ccm mkoa...hadi ikapelekea Aman...
Back
Top Bottom