Recent content by THE SON OF SUN

  1. T

    Wassira: Sababu ya kuzuiwa mikutano ya Siasa ni nguvu ya Lowassa Uchaguzi 2015

    Hayo ni maneno kuntu...yaliyojaa busara kutoka kwa mzee mkongwe kabisa kwenye ulingo wa siasa...nimependa alichokisema....amezungumza facts.... Kazi kwao hao vibaraka wakuu wa wilaya, mikoa na uyo Mvunjika guu chemba na kaka yake mlinzi wa nyumba...........
  2. T

    Wanawake waliolewa tu, ni kweli kila siku mnafanya mapenzi?

    Ukioa au kuolewa hauna mamlaka dhidi ya mwili wako kwa mwanza wako......akitaka au ukita haijalishi ni kwa siku mara ngap?? Au day after day or weekly. Hapo ni nyie na nyege zenu tu.......Rejea even maandiko yameruhusu.....
  3. T

    RC Gambo: Tarehe 1, Sep kiumbe chochote kisithubutu kuandamana Arusha

    Kweli hawa jamaa hawajaelewa nini maana ya ukuta.........UKUTA haummuliki baba Jesca peke yake bali mfumo wowote kandamizi usiofuata sheria mama za nchi. Hao wadinwani, wabunge, wakuu wa wilaya, wakuu wa mikoa na yule anayeimba kila kukicha kuwa serekali cjui ya nani ndo UKUTA unataka uwavue...
  4. T

    Polisi yanasa mitambo na lundo la vyeti zaidi ya 900 vya kughushi

    Hama kweli nchi hii inaliwa na wenye ujasiri wao.... Mm nipo hapa kigoma mjini na eneo la tukio ambapo vyeti ivyo vimekamatwa napajua vizur tuu..... Wasi wasi wangu ktk hili lilianza miez 6 nyuma ambapo kuna vijana watatu walitoka vijiji vya manyovu na wote waliniambia wamekunya kusomea mambo ya...
  5. T

    Hadithi: Mmhh! Hata wewe mwanangu?

    Story nzur.... Tuendeleeeee
  6. T

    MwanaKJJ Ijumaa: Kati ya Makabila Yote Hili Litamsumbua Zaidi Magufuli

    Kweli nimeamini nyie kabila la watuna mmepokonywa uwezo wa kufikiri......mmemuachia mkuu wenu uwezo hi.....mmemwachia peke yake afikirie kwa niaba yenu..... Nikirejea matamko yote aliyoyatoa uyo chief wa kabila lenu hakuna hata moja ambalo mnaweza kujivunia mmelifanikisha mpaka sasa. Na nyie...
  7. T

    Ushauri kwa Vyuo vikuu: Walau nusu ya wahadhiri wawe na PhD

    Ningependa kujua vigezo vya kuwa tutor (mkufunzi) hasa kwa vyo vinvyotoa stashahada (diploma) hasa kwa vyuo vya serekali............???
  8. T

    Wakurugenzi wapya walioteuliwa wameagizwa kufika ikulu na nakala zao halisi vyeti vya kitaaluma

    Iyo ni janja ya kutuzuga tuone alichagua watu wenye sifa.......
  9. T

    Dodoma: Viongozi wa BAVICHA Taifa wakamatwa kwa tuhuma za kuvaa T-Shirt zenye maneno ya kichochezi

    Tukutane dom.... Kama walijidanganya wana maasakar wengi kuliko raia basi ujue walijitekenya na kucheka wenyewe.............. Mwanaharakati yeyote duniani anaamini katika mambo matatu...... Jela......Ukombozi.....kifo.... Ukiogopa hayo umepoteza sifa ya kujitoa kwa ajili ya wengine...
  10. T

    Tuwajue Ma-DED waliopoteza majimbo na wamebakizwa!

    Kwaiyo tafsiri ya serekali ya JPM ni kwamba DED kada, DAS kada, DC kada, RC kada, hama kweli ndo mana kuna usalama wa chama na siyo wa Taifa...... R.I.P Democracy in Tz.
  11. T

    Kwa mujibu wa Standing Orders, DAS ni mtumishi wa Umma

    kweli itafika mahali tutachagua moja kati ya haya...either tuhame nchi au tupambane kuwaondoa hawa makaburu weusi......
  12. T

    Zitto Kabwe: Dikteta huchukua hatua kadhaa kupandikiza utawala wa Imla

    Zitto amesema waliofungua akili watamuelewa........ Nimekuelewa kaka......... ALuta contunua..........
  13. T

    Mwigulu Nchemba: Nimewaelekeza polisi kuwashughulikia vinara wa vurugu na uchochezi

    Sitaki kuamini kama umu kuna watu wana upungufu wa akili...... Kwaiyo wapinzani hawatakiwi nchi hii.....??? Mnajua maana ya upinzani.....??? Mnajua maana ya vyama vingi.....??? Mnajua malengo na madhumuni ya vyama vingi.......??? NB. Bila kuwa na upinzani imara ulioonyeshwa na vyama vya...
  14. T

    Vigezo, masharti kuzingatiwe ili kuboresha elimu (waliozoea elimu ya mkato wasahau)

    Walimu wamepuuzwa tangu nchi imepata uhuru.... Wanafunzi wamepewa nafasi kubwa kuwazidi tangu enzi na enzi....... Zana za kujifunza na kujifunzia ni kitendawili kisichoteguliwa kwa miaka......... Wazazi wamewaachia walimu suala la malezi ya watoto wao.....na walimu wanajifanya hawajali...
Back
Top Bottom