mchumi boy
Member
- Jun 4, 2016
- 70
- 31
Kwa anayemfahamu aliyekuwa Mkurugenzi wa MTWARA MANISPAA Shimwela akitokea Mufindi katemwa au kapangiwa wilaya gani?
Huyo katemwa kaka! Awamu hii tujiandae kwa maumivu, yaani utumishi wa umma nao unakuwa wa kunufaisha makada wa chama? Sijawahi kuona ujinga wa aina hii!Kwa anayemfahamu aliyekuwa Mkurugenzi wa MTWARA MANISPAA Shimwela akitokea Mufindi katemwa au kapangiwa wilaya gani?
Mkuu Mayeji Daudi amebakizwa hapo hapo Tanga jiji, sijui atafanya nini huku ana mgogoro na madiwani. Mimi huwa nashangaa sana ninaposikia mburura fulani zinaomba ziombewe huku zimejaa madhambi mwili mzima!Daud Mayeji hajaachwa fatiria Taarifa vzr,yule baba ana moyo wa ki****ya
Acheni kupotosha...............wapo wakurugenzi ambao hawakupoteza majimbo na wametemwa.Nimejaribu kuchunguza majina ya wakurugenzi yaliyotangazwa hivi karibuni nashindwa kuelewa kama kuna hata mmoja aliyepoteza jimbo au majimbo na amerudishwa kwenye nafasi hiyo? Nikianza na wa Ilala - Isaya Mungurumi (huyu alipoteza Ukonga), rafiki yangu Upendo Sanga (huyu alikuwa Mbeya). Hawa wote wametoswa. Sasa kama kuna yeyote unamfahamu aliyerudishwa tumjue hapa! Haya ndiyo huwafanya ma-DED kutoa maamuzi ya kijinga sana wakati wa uchaguzi! Sasa hivi kuna makada wengi wamejazwa huko, hivyo 2020 tujiandae kisaikolojia!
Angeachwa kasi ya Meya wa UKAWA asingeiweza jamaa hapendi rushwa kabisa, kuna malobist flani walimfata na bahasha zao na wakarudi nazo hakupokea.huyu wa ilala muache atoswe mla rushwa vzr tena angendolewa yy na maafisa utumishi wake kina munuo
kuna vtu vingine tunaogopa kusema hapa Ila bora alivyotoswa!!
Hapa kazi tu weledi hakuna?hii nafasi ya kiutendaji nayo imegeuzwa kichaka cha wasiokuwa na kazi kutoka ccm.
afrika ndio maana hatuendelei. ndio maana muda wote tunataka kukomaa tu na kukandamiza wengine
Hiyo ya kwako itakuwa ni argument nyingine, mimi nilitaka kujua tu walioachia majimbo yakaenda UKAWA, kama wamebakizwa. Na hapa imeonekana kabisa kwamba hakuna hata mmoja aliyesalimika, hivyo inatoa picha kwamba usipokibeba chama unajitengenezea mazingira ya kufutwa kazi.Acheni kupotosha...............wapo wakurugenzi ambao hawakupoteza majimbo na wametemwa.
muwe na mawzo chanya japo siku mojamoja.Hiyo ya kwako itakuwa ni argument nyingine, mimi nilitaka kujua tu walioachia majimbo yakaenda UKAWA, kama wamebakizwa. Na hapa imeonekana kabisa kwamba hakuna hata mmoja aliyesalimika, hivyo inatoa picha kwamba usipokibeba chama unajitengenezea mazingira ya kufutwa kazi.
Tutajie majina ya hao "malobist" sio kutupa story za vijiweni mpwaAngeachwa kasi ya Meya wa UKAWA asingeiweza jamaa hapendi rushwa kabisa, kuna malobist flani walimfata na bahasha zao na wakarudi nazo hakupokea.
Sasa mpwa nikiwataja si hata mimi nakuwa nimejiexpouse? By the way mpwa mimi kijiwe changu ni JF tu, huwezi kunikuta kwenye vijiwe vya porojo street.Tutajie majina ya hao "malobist" sio kutupa story za vijiweni mpwa
Akchware nimekumiss....Mi nina rafiki yangu kachaguliwa hapa Dar... alimpigia magufuli kampeni balaa nakumbuka Karibu kila mkoa alikuwepo. Aligombea udiwani akakosa.
Ni kijana mchapakazi na msomi. Hongera sana kwake
Mi rafiki yako nimeukoda Ghana. Ngoja nizidi kukomaa na biashara ya NyanyaMi nina rafiki yangu kachaguliwa hapa Dar... alimpigia magufuli kampeni balaa nakumbuka Karibu kila mkoa alikuwepo. Aligombea udiwani akakosa.
Ni kijana mchapakazi na msomi. Hongera sana kwake
Mambo yako sasa hivi safi maana best kaulaaMi nina rafiki yangu kachaguliwa hapa Dar... alimpigia magufuli kampeni balaa nakumbuka Karibu kila mkoa alikuwepo. Aligombea udiwani akakosa.
Ni kijana mchapakazi na msomi. Hongera sana kwake
Tunaposoma maandiko matakatifu tunafundishwa kuwa: Shangwe ya waovu ni ya muda kidogo na furaha ya wapotovu ni ya dakika moja tu. Waliomwona watauliza yuko wapi? (Ayubu 20:5-7).Yule Mkurugenzi wa Jiji la Tanga aliyemtangaza Meya wa CCM wakati alishinda wa CUF kaachwa, pamoja na kutokaa ofisini miezi mitatu akihofia usalama.
Uchunguzi wa harakaharaka unaonesha madedi wengi waliokuwa maeneo ambayo wapinzani walishinda wameondolewa.Nimejaribu kuchunguza majina ya wakurugenzi yaliyotangazwa hivi karibuni nashindwa kuelewa kama kuna hata mmoja aliyepoteza jimbo au majimbo na amerudishwa kwenye nafasi hiyo? Nikianza na wa Ilala - Isaya Mungurumi (huyu alipoteza Ukonga), rafiki yangu Upendo Sanga (huyu alikuwa Mbeya). Hawa wote wametoswa. Sasa kama kuna yeyote unamfahamu aliyerudishwa tumjue hapa! Haya ndiyo huwafanya ma-DED kutoa maamuzi ya kijinga sana wakati wa uchaguzi! Sasa hivi kuna makada wengi wamejazwa huko, hivyo 2020 tujiandae kisaikolojia!