Recent content by The Senator

  1. T

    Siwaelewi Hamas!

    Wadau wote hapo juu kama mnaweza kupata kitabu kinaitwa THE SON OF HAMAS mtapata mwanga mzuri sana,hichi kitabu kimeandikwa na jamaa anaitwa Mosab Hassan Yousef ambaye alikuwa ni mtoto na right hand man wa mmoja wa top founders wa Hamas ambaye baadae alikuja kuwa spy wa Israel(Shin Bet),nadhani...
  2. T

    Askofu Anthony Mayalla is no more

    Hizi ni habari za kusikitisha sana hasa sisi ambaye tulikuwa nae karibu na ametulea vizuri sana kipindi chote tulichokuwa pale Seminary ya Nyegezi,kwa habari nilizopata toka kwenye source iliyokuwa karibu ni kwamba Mhashamu Baba Askofu alikumbwa na low pressure na alifikishiwa ICU pale hospitali...
  3. T

    Meremeta Report: Released to the Public (Revised & Free!)

    Aisee ndo nimemaliza kuisoma Mwanakijiji shukrani sana,ninachosubiria ni kuona impacts! Mambo ni mazito!! Let's wait and c!....
  4. T

    Mawaziri waghushi vyeti

    Fataki hapo umenena! Kamala lazima aombe msamaha PhD yake fake ndo ime-influance teuzi zake zote kuanzia Ubunge mpaka unaibu waziri! aaargh! inaudhi sana...nway cku yao inakaribia...watalia na kusaga meno!!
  5. T

    Waziri Masha na Kashfa ya Vitambulisho

    Mh should think twice! unless....ngoja tuangalie haka kamchezo as I know at the end there should b a looser an LM must loose!!!! mtaniambia!
Back
Top Bottom