Recent content by the say

  1. the say

    Msaada: Mke wa mtu anataka kuhamia kwangu

    Mi sioni tatizo hapo mbona, maana umesema huyo mwanamke unampenda na mtoto wake ni mcheshi, mwanamke aende mahakamani adai talaka akubali alikuwa anachepuka atapewa talaka fasta then mtaendeleza kupigana miti, sometime mke wa kuishi nae unakuta kaolewa sehemu nyingine, sasa Mungu anakuletea mke...
  2. the say

    Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

    Umeona eeh👍👍
  3. the say

    Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

    Sawa sawa soon utaona na ya kutolea utaiona
  4. the say

    Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

    Aaah ni kweli sio mbaya kabisa sasa next ni kupata namba yako nitume na ya kutolea kabisa, ndio majukumu nishayaanza hivyo
  5. the say

    Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

    Baby nina 35 na miezi 10😅😅
  6. the say

    Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

    Uuuwii, umri umeniharibia hapa
  7. the say

    Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

    Ngoja watajwe wa dar kwanza watakapoisha tutatajwa na sisi wa huku masumbwe
  8. the say

    Tusinunue vitu Used jamani

    Aliyelitumia hilo friji likiwa jipya hakugundua hivyo? Au itakuwa alipata jipya bora zaidi
  9. the say

    Refa na Mkufunzi wa FIFA akataa goli la Yanga

    Masijala ya Caf
  10. the say

    Refa na Mkufunzi wa FIFA akataa goli la Yanga

    Ulipokuwa darasani unafundishwa sifa za barua uliambiwa anwani sio sifa ya barua? Kwa hiyo uongozi umeandika barua halafu ikachanwa isipelekwe ili kumfurahisha nani
  11. the say

    Refa na Mkufunzi wa FIFA akataa goli la Yanga

    Ukiwa mshabiki wa yanga akili sijui huwa zinaenda wapi.... yaan barua ina anwani ya huko inakoenda halafu naulizwa eti dhibitisha kama inaenda CAF😅😅
  12. the say

    Sijui kwanini nimeumia hivi

    Bado hujanielewa na wewe, natafuta hoja yako ya kujifanya Mungu inatoka wapi kwenye incident hii, unafikiri kwa nini huyu ambae hakuwa na hela nae akaomba tena ndio akapata hela nyingi kuliko walikuwa nazo cash lkn wakatuma buku ten, huyu aliyekuwa hana akapata laki 2+ umeona uponyaji wa huyo...
  13. the say

    Sijui kwanini nimeumia hivi

    Mimi nakuelewa, ila Shida inakuja kwa kuwa msaada ulikuwa ni kwa mgonjwa na yeye alimuona mgonjwa huyo hivyo ikapelekea moyo kumsukuma kuomba hela kwa wazazi ( watu wake wa ndani) ili asaidie eneo lile, Ukileta Neno Mungu mtu kwenye incident kama hii inakuwa hai work out.
  14. the say

    Refa na Mkufunzi wa FIFA akataa goli la Yanga

    Ile barua imeshia kakonko tu hapo nani wa kupeleka barua unafikiri wao viongozi wa yanga hawajui kuwa lilikuwa sio goli? Yaani uandike barua uanze kuipost kwenye mitandao halafu ndio iende CAF thubutu!!!!
Back
Top Bottom