Mi sioni tatizo hapo mbona, maana umesema huyo mwanamke unampenda na mtoto wake ni mcheshi, mwanamke aende mahakamani adai talaka akubali alikuwa anachepuka atapewa talaka fasta then mtaendeleza kupigana miti, sometime mke wa kuishi nae unakuta kaolewa sehemu nyingine, sasa Mungu anakuletea mke...
Ulipokuwa darasani unafundishwa sifa za barua uliambiwa anwani sio sifa ya barua? Kwa hiyo uongozi umeandika barua halafu ikachanwa isipelekwe ili kumfurahisha nani
Bado hujanielewa na wewe, natafuta hoja yako ya kujifanya Mungu inatoka wapi kwenye incident hii, unafikiri kwa nini huyu ambae hakuwa na hela nae akaomba tena ndio akapata hela nyingi kuliko walikuwa nazo cash lkn wakatuma buku ten, huyu aliyekuwa hana akapata laki 2+ umeona uponyaji wa huyo...
Mimi nakuelewa, ila Shida inakuja kwa kuwa msaada ulikuwa ni kwa mgonjwa na yeye alimuona mgonjwa huyo hivyo ikapelekea moyo kumsukuma kuomba hela kwa wazazi ( watu wake wa ndani) ili asaidie eneo lile, Ukileta Neno Mungu mtu kwenye incident kama hii inakuwa hai work out.
Ile barua imeshia kakonko tu hapo nani wa kupeleka barua unafikiri wao viongozi wa yanga hawajui kuwa lilikuwa sio goli?
Yaani uandike barua uanze kuipost kwenye mitandao halafu ndio iende CAF thubutu!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.