Nisaidieni wimbo wa mwinjuma muumini una kionjo Cha " namwaga radhi,,, wanaitikia huwezi... Nivue muone'
Na nyingine ya extra bongo " kichaa kapewa rungu usijaribu kupita mbele yake"
Hii mbinu ya kuukatalia uwanja kwa timu ngeni zisifanye mazoezi kwa kuweka mabaunsa getini na polisi mngeitumia kwa Mc Algiers saivi mngekuwa robo 😀😀😀 maana Mc wangesusia mechi afu nyie CAF ingewapa point tatu kama hizi mnazodai Leo😀😀😀
Unazijua sababu zanazoweza kusababisha mchezo ukaahirishwa?
Nakupa ya Simba wapi walipitia...
Soma barua ya bodi ya ligi ya kuahirisha mchezo huo utagundua kwa Nini mechi oliahirishwa.
Sababu za Simba zilizokunaliwa na bodi
1. Walinyimwa haki Yao ya kikanuni kufanya mazoezi
2. Walikaa muda...
Kaka unakichwa kigumu sana kuelewa, yaan ni hivi wenye mpira wao waliahirisha mechi baada ya timu ya Simba kulalamika kwao kuwa hawakupewa haki Yao ya kikanuni kafanya zoezi kwenye uwanja ambao mchezo utafanyika na muda ule ule wa mchezo wakalalamika kwa barua kwenda bodi ya ligi na kisha kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.