Namaanisha hivi, Katika kada hizi The TOP wa wote hapo ni RMO/DMO . Huyu ndiye na power ya kimaamuzi hawa wengine sijui Mfamasia wa Mkoa, Muuguzi wa Mkoa na Mfamasia wa Wilaya au Muuguzi wa Wilaya hawa hawana maamuzi ya mwisho hata kwenye Taaluma zao.
Nitolee mfano; Hapa napofanya kazi wilaya...
Acha kubabaika Mkuu. Twende pole pole, suala la usimamizi wa shughuli za Huduma za Afya pale Mkoani au Wilayani haziwezi kusimamiwa na Kada zingine za Afya kama Nurse, Pharmacy au Medical Laboratory kwa mtu aliyesomea masomo muhimu ya usimamizi wa Shughuli hizo. Wizara ya Afya inahitaji...
Ahaaa sawa Mkuu. Lakini nilitaka tu kukujuza jinsi ambavyo utaratibu wa kuweka wasimamizi wa Taasis za Afya ulivyo mbovu. Inakuwaje Medical Officer Incharge lazima awe daktari??
Labda nikupe moja ya scenario ambavyo kwa miaka Mingi sana kuna Kada fulani wamelua watu wakuangushiwa jumba bovu tu...
Pitia hiyo Biography ya January Makamba na unambie Kama Januara ‘Makamba aliwahi kusoma mambo Engineering popote duniani ? Na tayari yupo wizara ya Nishati. Haya tunaye Aliyekuwa waziri wa Mawasiliano na TEHAMA (ICT) Dkt Faustine Ndungulile, mbona aliweza kuiongoza wizara na hakuwahi kusoma...
Mpaka sasa hakuna ushahidi wa kushikika juu ya uwepo wa viumbe waitwao aliens pamoja na kuwepo taarifa nyingi kwenye mtandao. Aliens are not real beings, are just imaginary creatures.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.