Recent content by THE REDCARD

  1. T

    Wasomi wengi ni waoga

    kula like mkuu
  2. T

    Prof muhongo; umuhimu wako umeonekana hongera sana!

    akili yako ni finyu n elimu uliyosoma haijakukomboa. Huwezi kumtukana mwenzio namna hiyo. Kusema akili yako finyu maana yake we hujui kuwa rais ana nafasi ya kuteua wabunge? mf.mbatia,muhongo na asharose hawakuwa wabunge wa kuchaguliwa bali wakuteuliwa.Kwa maoni ya mtoa mada yupo sahihi kabisa...
  3. T

    Lowassa na mamluki wazungu waliotaka kuhujumu nchi kwa kuingilia mawasiliano ya NEC

    Mzee mwanakijiji tunakuheshimu na kuamini sana hapa jf. Mi naomba utufunue macho juu ya uhaini huu wa lowasa.
  4. T

    Dawa ya kitambi hii hapa

    Hahahahaaaaaaa
  5. T

    Dr. W. Slaa anaondoka CHADEMA

    Maamuzi ya dr.Slaa haya ya kuondoka CDM yamenifurahisha sana,kwamaana yanaendana na mawazo yangu. Nilipodhibitisha ujio wa Lowasa UKAWA nilisema pamoja na kuwa kura yangu ni moja lkini inathamani kubwa. UKAWA siwapi kura yangu kwa upuuzi walioufanya.Bravo@dr.Slaa
  6. T

    ACT-Wazalendo tangazeni sera za Chama chenu sio mtu

    Mtoa mada acha kutoa mapovu. Wakati mnapiga kelele za slaa na mboe nani alikuwa analalamika?Ni wazi kuwa sasahivi chupi zinawabana baada ya kuona act inazidi kupata wanachama wengi zaidi tena kutoka cdm. Mawazo yenu finyu kuwa act itakufa haraka kwa kukosa wanachama na hilo mmenoa kwavile act ni...
  7. T

    Tamko la Jukwaa la Wakristo Tanzania kuhusu Katiba inayopendekezwa na Mahakama ya Kadhi

    Huna hoja ndiomaana umekosa cha kusema. Kwahili sidhani kama nitapata majibu sahihi kutoka kwako we mvivu wa kusoma. Istoshe hata huu uzi inawezekana hujausoma umekimbilia ku comment tu.
  8. T

    Tamko la Jukwaa la Wakristo Tanzania kuhusu Katiba inayopendekezwa na Mahakama ya Kadhi

    Pingeni kwa hoja na sio kejeli kama mnajiweza.
  9. T

    Tamko la Jukwaa la Wakristo Tanzania kuhusu Katiba inayopendekezwa na Mahakama ya Kadhi

    Kumekuwepo na mshikemshike na udiniudini kwenye suala la katiba mpya. Hoja ya msingi ya maaskofu waliyoiona kwenye katiba mpya pendekezwa ni kuwa kunapendekezo la mahakama ya kadhi ndani ya katiba hiyo. Wengi ya wananchi pamoja na katiba pendekezwa kusambazwa katika taasisi na sehemu...
  10. T

    Vijana Katoliki(Viwawa) Fuateni Kauli ya TEC si ya Pengo.

    Kwanini kura ya hapana kwa katiba mpya?
  11. T

    Ushauri wangu kwa BAKWATA

    Hilo unalolishauri hao mashekhe wenye elimu walioko taasisi zingine wamelipigania sana wakawa maadui wakubwa tena wakuwindwa kuwa ni watu hatari wasipewe upenyo hata kidogo. Bilashaka serikali wana maslahi na taasisi hiyo isiyokubalika na kundi kubwa la waislam wanaojitambua. Kumbuka kuwa...
  12. T

    Jinsi gani niunganishe internet kwenye huawei ideos s7 slim?

    Ninachotaka nikutumia internet kwenye ipad yangu lakini sijui chakufanya. Nimejaribu kuomba setting kutoka airtel na vodacom lakini haziingii. Kwenye line kuna bundle lakini hakuna internet connection.
  13. T

    Baregu au Tundu Lissu kusimama nafasi ya Uras kwa tiketi ya UKAWA

    Kwa Lisu kura yangu ukawa mmeikosa. watu ambao wakipewa nafasi siwezi kutuo kura yangu ni Lisu na Slaa. Watu hawa hawafai hata kidogo.
Back
Top Bottom