Ushauri wangu kwa BAKWATA

Ushauri wangu kwa BAKWATA

Hilo unalolishauri hao mashekhe wenye elimu walioko taasisi zingine wamelipigania sana wakawa maadui wakubwa tena wakuwindwa kuwa ni watu hatari wasipewe upenyo hata kidogo. Bilashaka serikali wana maslahi na taasisi hiyo isiyokubalika na kundi kubwa la waislam wanaojitambua. Kumbuka kuwa sasahivi kuna zaidi ya taasisi 11 za waislam ambazo ni kinyume na bakwata.
Bakwata imeshindwa kufanya mambo mengi sana hadi kusababisha migogoro ya kimaslahi. Haina shule na zile zilizopo ziko hoi,dispensary ziko hoi na hakuna miradi ya maana wanayofanya. Utaona taasisi zingine za kiislam zimepiga hatua kubwa sana kimaendeleo. Tukumbuke kuwa bakwata inang'ang'aniwa tu na serikali.
 
Mkuumbona unajichanganya,watu amba uelewa ao uhuu mamo ya kidunia na dunia inataka nin kwa sasa unategemea watotamko la aina ani.Mi naomba wafumue kwazauongozi wao na wachaguane wenye angalau dege moja

Mkuu, hawa watu elimu wala haina mssada sana kwao hasa wakishazama katika ilmu an-jinn. Hivi unajuwa wale waliolipua Marekani walikuwa wasomi waliobobea? Ukishasomewa jinn wewe ndio hivyo tena hata uwe profesa.
 
Ukizungumzia Bakwata unamzungumzia Nyerere, ama kuweni wakweli au mada hii ifungwe

Azimio la Arusha wamzungumzia pia Nyerere; liko wapi leo? Acha visingizio.
 
Waliivunja EMWS wakaanzisha BAKWATA kwa lengo la kudumaza maendeleo ya waislam na sasa wanawabeza waislam !!! BAKWATA ni kigango cha kanisa parokia ya CCM ... Nani asiejua hadaa wanayofanyiwa waislam kwenye ajira, elimu, afya nk? ...
 
dudus
hujanielewa uchambuzi una mambo mengi Nyerere ndiye kaanzisha Bakwata kwa nia ya kuwadhibiti Waislam.
tazama sasa kila jambo linalohusu Waislam muongeaji ni Bakwata kwa maelekezo ya serikali kwa hiyo ukiitaja tu Bakwata maana yake umemtaja Nyerere ni Mzimu..
 
Mufti Simba anaweza kukusomea duaa ya kukugeuza mjusi ndani ya dk 3. Mpe sasa gazeti asome...utashangaa

Hii itakuwa aya ya shetani kama alivyosisitiza salman rushdie. kuna nyingine kama "yasin' nazo si maneno ya kimungu hata kidogo lakini waislam hawazizungumzii wanajadili mambo mengine tu na kusahau hayo ambayo ndio yanayoufanya uislam uonekane man made religion.
 
Back
Top Bottom