Kwa ufupi kabisa ni kuwa watu wote walioko Marekani ni wenye asili kutoka sehemu zingine za Dunia na ni eneo hilo lililokuwa la giza kuliko Afrika. Eneo hilo lilikuwa na Dubu wengi na wanyama wenye kutisha hadi binadamu alipofika na kubadilisha mfumo wa maisha ya ekolojia.
Ipo historia fulani katika Jumba la kumbukumbu la the Capitol pale Washington DC inayoeleza namna hao wahindi walivyopatikana North America. Inadhaniwa kuwa wahindi hao walikuwa wavuvi kutokea India, China, Japan, Pakstani na maeneo hayo waliosombwa na dhoruba za bahari hadi pwani ya Mexico...
Huu ni ugonjwa mbaya sana unaokutafuna. Nilimsikiliza Rais akiongea kile ambacho watu wengi tunakipenda. Aliongelea uchambuzi mzuri wa magazeti, akawasifu watangazaji tena kwa majina yao na wala hakumtaja mmiliki wa kituo, akawakaribisha wake na waume wa watangazaji hao ili wakutane siku moja na...
Mada yako yote unalia na bomoa bomoa. Sijui kama umefikiria vizuri. Serikali gani ilikuwepo wakati watu wanajenga mabondeni?? Umefikiria shida zinazopatikana wakati wa mafuriko? Uchafu ulioko huko je? Mateja wanaoishi huko? Ifike muda katika nchi hii watu wawaze sheria kabla hawajatenda kitu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.