Hapa tatizo ni sisi wanaume kutojua au kutofundishwa saikolojia ya wanawake. Kwa wanawake, kadiri unavyoonyesha kuwa muwazi ndivyo anavyozidi kutokuamini, kadiri unavyoonyesha unampenda peke yake ndivyo anavyozidisha wivu ambao unamfanya muda wote awe na wasiwasi na kuanza ku overthink na hapo...
Mimi nimejiamulia kukimbia kwenye njia ya hizi nyaya kubwa za umeme huku kimara kuelekea mbezi maana chini Kuna eneo pana ambalo Barbara zimewekwa. Huku hakuna Magari na kuna pikipiki moja moja Sana. It is safe kwa kweli
Kuna mmoja utajiri wake ilikuwa ni kutembea na mke wa mtu na mwenye mke lazima ajue na jamaa analipa. Akisha lipa faini ya ugoni basi kibunda kinaingia kama chote. Siku akajichanganya wakamfumania wakamuua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.