Samahani naomba mirekebishe kauli. Sifananishi hizo pyramid scheme na utt kwa maana ya thamani zake na operation zake.
Ila zinafanana kwa jinsi zilivyochukuliwa kwa MIHEMKO NA WASOMI. Unapoona mtu amepewa elimu ya utt, then anaenda kukopa pesa ili aweke utt hapo anakuwa amepata mihemko kama...
Wazee wa UTT wananichekeshaga Sana. Yaani wanashindwa kupiga jesabu ndogo Sana. Mtu anapigia mahesabu ya pesa atakayokuwa nayo 2035 kwa mahesabu ya Leo. Yaani mtu anashindwa kabisa kupiga mahesabu ya gharama ya maisha mwaka 2005 wakati mwalimu wa shule ya msingi alikuwa analipwa around 50,000 na...
Kweli kabisa. Na hapo watu hawajataka kuweka umakini mtoa madam aliposema "kijana anayejitafuta"
Kama ninemeuelewa vizuri mtoa madam anamaanisha kijana ambaye bado hana vitu basic kama nyumba, gari (kwa Dar) n.k. Sasa huyu mtu akisema pesa anayopata aende akawekeze kwenye ardhi ambayo itapanda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.