Kwa sasa hivi sababu pekee ya kumpeleka mtoto english medium ni usalama wake hasa kwenye hili jiji la dar. Ila kama shule ya serikali ipo karibu hakuna namna atasoma hiyo hiyo.
Kwasasa uwekezaji mkubwa kwenye elimu ya msingi ni zaidi ya gambling.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.