Recent content by The real Daniel

  1. The real Daniel

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Mkongwe. Nashkuru wameweka saiv
  2. The real Daniel

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Tusubiri tu, labda tutakumbukwa
  3. The real Daniel

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Mimi nmb ila mpaka sasa bilabila
  4. The real Daniel

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    😁😁 Wametugawanya huyu kapata, huyu ana open nmb app kila dakika
  5. The real Daniel

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Nimefika huko kimawazo lakini nokagundua nimejaza pepmis vizuri kabisa. Ngoja nisubiri tu🤝🤝🤝
  6. The real Daniel

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Dah nmb wameamua kuwapa wengine na kutunyima wengine.
  7. The real Daniel

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    😁😁😁 Wenge limeanza mapema
  8. The real Daniel

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Dah hata benki moja Bado?
  9. The real Daniel

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Samahani naomba mirekebishe kauli. Sifananishi hizo pyramid scheme na utt kwa maana ya thamani zake na operation zake. Ila zinafanana kwa jinsi zilivyochukuliwa kwa MIHEMKO NA WASOMI. Unapoona mtu amepewa elimu ya utt, then anaenda kukopa pesa ili aweke utt hapo anakuwa amepata mihemko kama...
  10. The real Daniel

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Sema wasomi ndiyo watu wanaongoza kupigwa kwenye Kila scheme inayoanzishwa kuanzia deci, q net, kilimo Cha vanilla, chia seed, viwanja kigamboni etc.
  11. The real Daniel

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Wazee wa UTT wananichekeshaga Sana. Yaani wanashindwa kupiga jesabu ndogo Sana. Mtu anapigia mahesabu ya pesa atakayokuwa nayo 2035 kwa mahesabu ya Leo. Yaani mtu anashindwa kabisa kupiga mahesabu ya gharama ya maisha mwaka 2005 wakati mwalimu wa shule ya msingi alikuwa analipwa around 50,000 na...
  12. The real Daniel

    Ardhi sio uwekezaji kwa mtu anayejitafuta

    Kweli kabisa. Na hapo watu hawajataka kuweka umakini mtoa madam aliposema "kijana anayejitafuta" Kama ninemeuelewa vizuri mtoa madam anamaanisha kijana ambaye bado hana vitu basic kama nyumba, gari (kwa Dar) n.k. Sasa huyu mtu akisema pesa anayopata aende akawekeze kwenye ardhi ambayo itapanda...
Back
Top Bottom