Recent content by The real Daniel

  1. The real Daniel

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    That's true, poch kaifanya Chelsea inacheza vizuri hata kama matokeo ni changamoto. Siku tukienda darajani tutajua hatujui
  2. The real Daniel

    Kijana, Wapi uliteleza hadi kuharibikiwa kimaisha?

    Hapa tatizo ni sisi wanaume kutojua au kutofundishwa saikolojia ya wanawake. Kwa wanawake, kadiri unavyoonyesha kuwa muwazi ndivyo anavyozidi kutokuamini, kadiri unavyoonyesha unampenda peke yake ndivyo anavyozidisha wivu ambao unamfanya muda wote awe na wasiwasi na kuanza ku overthink na hapo...
  3. The real Daniel

    Kufanya mazoezi barabarani hasa kukimbia sio hatari kiafya?

    Mimi nimejiamulia kukimbia kwenye njia ya hizi nyaya kubwa za umeme huku kimara kuelekea mbezi maana chini Kuna eneo pana ambalo Barbara zimewekwa. Huku hakuna Magari na kuna pikipiki moja moja Sana. It is safe kwa kweli
  4. The real Daniel

    Wazee mshahara umeshasoma huko?

    Hii ndiyo increment Sasa. Mama hoyeeeeee
  5. The real Daniel

    Serikali imechelewa kulipa mshahara wa mwezi Mei

    Uzi ufungwe Sasa tuelekee ATM
  6. The real Daniel

    Kumbe kuna ndagu za utajiri rahisi na zisizoweza kudhuru mtu sharti ni kuwa na upendo kwa watu tu!

    Kuna mmoja utajiri wake ilikuwa ni kutembea na mke wa mtu na mwenye mke lazima ajue na jamaa analipa. Akisha lipa faini ya ugoni basi kibunda kinaingia kama chote. Siku akajichanganya wakamfumania wakamuua
  7. The real Daniel

    Dada yangu anapitia mateso makali sana sababu ya kijana wake kushika Dini hadi imemfanya amekuwa mjinga

    Tunaweza kuwa tunamuonea huruma mother kumbe mtoto alishakuwaga mwehu kitambo tu ndiyo maana mzee akaachana naye.
Back
Top Bottom