Nakubaliana na sababu zako maana ni za msingi kabisa.......naomba tujaribu kutafuta data tu za hii hypothesis ya huyu mtu niliyemnukuu......ni uchunguzi tu kama tunavyofanya tafiti mbalimbali na tungepata hizi data za mwezi September ingetusaidia walau kuangalia kama katika sababu za ajali...
Nimeyanukuu tu mkuu...hebu tupeane ka-homework tutafute data za mwezi Septemba katika miaka 5 mpaka Kumi iliyopita kuhusiana na ajali za barabarani tuangalie kama ni ukweli au la na pia tujiulize kwa nini iwe mwezi mmoja kuwe na rundo la ajali namna hii kama zinaambizana vile.....natanguliza...
"Wafanyabiashara/wamiliki wa haya mabasi(baadhi/wengi wao) ndo huwa wanatoa kafara ili biashara zao ziwaendee sawa ...kila mwezi wa tisa huwa ni kilele cha sherehe za utoaji sadaka na damu nyingi sana huhitajika"...mwisho wa kunukuu.
Hujabahatika kaka mi nina mtoto wa kibena yan kama mlatino design chotara Fulani hivi........wapo weupe bhana yan mtoto mweupe alaf ana nywele natural aisee shikamooni sana watu wa Iringa....respect sana.
Ee bhana wapo wengi barabarani mpaka wanakera dah yan mpaka nilianza kujiuliza hizi wiki mbili wamejaa kibao kudadadadeki yan ukitoka kariakoo mpaka mbagala unaweza kukutana nao kama 30 hvi khaaa!!!gerezani,kona ya Bandar,ufundi,uhasibu,sabasaba,mtongani,kizuiani,zakhem na rangi Tatu dah hawa...
Unahitaji elimu ya masuala ya fedha na mikopo mkuu.....kumbuka sehemu ya Pesa wanazokopesha watu c za kwao ni za wateja wa hiyo bank sasa ukikopa halafu ukishindwa kulipa hiyo pesa unataka benki wauze cheti chako ili Pesa yao irudi...pia kumbuka huwezi kuifahamu au kuwa mfanyabiashara mzuri kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.