Recent content by The Orginals

  1. The Orginals

    Nisha awaumbua Ommy Dimpoz na Martin Kadinda

    mmmmh yule martin yuleee sijui kama kadinda kweli maana jamaa yuko kimchicha mchicha kabisa yani
  2. The Orginals

    Majambazi waua maeneo ya Mwenge karibu na Oil Com

    duuuuh kuchapia kumefanya usieleweke
  3. The Orginals

    Muda si mrefu nadhalilika hapa Nyama Choma

    Ungelienda na mkeo hata elfu 50 asingeimaliza mana anajua unapataje sasa hao si msala
  4. The Orginals

    UKAWA: Mgorogoro mkubwa unapikwa juu Dr.Slaa

    Awe rais mtu yeyote toka chama chochote lakini Dr.Slaa akiwa rais wa nchi hii naapa kuhama nchi hii!!
  5. The Orginals

    Haya Wanjera Zanzibar mwenye habari aliyekuwepo tupeni updates

    aghaaa kama ronaldo sankoro!!!
  6. The Orginals

    Nguvu Za Kike

    Duuuuh
  7. The Orginals

    Unaweza Kukisia Huyu Muuza Juisi ya Miwa Yupo Nchi Gani?

    hahahaaa duuuh noma sana
  8. The Orginals

    Msichana kaning'ang'ania, nifanyeje?

    unadanganywa wewe anakuzuga zuga ili ukolee mademu wa karne hii wote wezi!!!!
  9. The Orginals

    Vita dhidi ya Diamond ni kubwa kuliko tunavyofikiria

    mi nikiona team kiba au team chibu wanatukanana hua nafurahi kusoma comments tu hahahaha!!
  10. The Orginals

    Vita dhidi ya Diamond ni kubwa kuliko tunavyofikiria

    mi team diamond lakin Kingkiba pia nausililiza music wake kabla diamond hajawa maarufu so sion sababu ya team Allykiba ku panic mpaka mapovu ya midomo this music z jus a music tu tusikilize music mengine tuwaachie wenyewe!!!
  11. The Orginals

    Diaspora hawapendani

    mi nkajua hizo hela zake katafuta mwenyewe kumbe za kidume ---- sana huyo demu akakojoe huko alale!!!
Back
Top Bottom