BIGURUBE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 6,748
- 4,257
Mademu wengi wa Dar wanapenda kukomesha wanaume, hawana huruma kabisa...dawa hapo unatafuna mmoja mmoja mpaka uwamalize wote...
Enzi hizo imewahi kunitokea hivyo nikasepa nikamuachia bill demu wangu na wenzie walipe, na ndio ukawa mwisho wa mm na yy!
Enzi hizo imewahi kunitokea hivyo nikasepa nikamuachia bill demu wangu na wenzie walipe, na ndio ukawa mwisho wa mm na yy!