Recent content by The Nile crocodile

  1. The Nile crocodile

    Ipi njia nzuri ya kuweka akiba?

    Kuna Baadhi ya wachangiaji wameshauri kuhusu fungi la 10. Nashauri Hilo fungu la kumi ni Bora ukawatumia wazazi wako kuliko kupeleka kanisani.
  2. The Nile crocodile

    Njia sahihi ya nchi ya DRC kuwa na amani ni kuishtaki RWANDA kwenye mahakama ya EAC

    Ndio Kuna tetesi ya kwamba Kagame anaiba rasirimali za Congo... Lakini watu wengi hawajui chimbuko na kiini hasa Cha Rwanda kuwasaidia waasi huko mashariki ya Congo hasa maeneo ya Kivu. Wengi wetu tunategemea vyanzo vya habari vya kimagharibi ambao wao Kwa kiasi kikubwa wanahusika na mgogoro huu...
  3. The Nile crocodile

    Video: Kuna Mwafrika alikuwa kashikilia ki-note pad kilichokuwa na makaratasi, Mchina akakipiga kofi

    Alivyokong'otwa mwanzo nikaisi mchina ataleta mapigo ya kina jack chain au mjomba lee
  4. The Nile crocodile

    Zuhura Yunus wa BBC Swahili, amesema maisha ya London Magumu huwezi hata kusevu

    Hizo ni propaganda za Westerners kutumia waandishi wa habari wa kiafrika kuwaaminisha wazamiaji wa kiafrika au wenye mawazo Kama hayo kuwa Bora wabaki afrika kwani huko ni kugumu zaidi ya afrika. Ni designed program nashindwa kuelezea vizuri hapa
  5. The Nile crocodile

    Kiwanda Kipya cha Drone Mpya kwa jina la Gaza Chalipuka

    Just a hoax like other hoaxes
Back
Top Bottom