Ndio Kuna tetesi ya kwamba Kagame anaiba rasirimali za Congo...
Lakini watu wengi hawajui chimbuko na kiini hasa Cha Rwanda kuwasaidia waasi huko mashariki ya Congo hasa maeneo ya Kivu.
Wengi wetu tunategemea vyanzo vya habari vya kimagharibi ambao wao Kwa kiasi kikubwa wanahusika na mgogoro huu...
Hizo ni propaganda za Westerners kutumia waandishi wa habari wa kiafrika kuwaaminisha wazamiaji wa kiafrika au wenye mawazo Kama hayo kuwa Bora wabaki afrika kwani huko ni kugumu zaidi ya afrika. Ni designed program nashindwa kuelezea vizuri hapa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.