Recent content by The nightwalker

  1. The nightwalker

    Samia Suluhu Hassan ndo kielelezo cha Upendo wa Wazanzibari kwa Watanganyika

    we jamaa mbona unalizimisha tuone kama unavyoona wewe? Wewe ni one against millions! Au umeoa/olewa zanzibar?
  2. The nightwalker

    Samia Suluhu Hassan ndo kielelezo cha Upendo wa Wazanzibari kwa Watanganyika

    una ushahidi gani? Unaishi nao wote?
  3. The nightwalker

    Kenya is going cashless

    Sishangai!! Kenya king'amuzi cha dstv kwenye kifurushi cha compactplus wanalipa jero ya kwao, sawa na buku 5 hukukwetu! Ila sisi tunalipa zaidi ya tsh62000! Hayo yote ni kwasababu ya kodi kubwa wanayowekewa na serikali yetu! Hata mabati kenya ni bei nafuu kuliko huku tz!
  4. The nightwalker

    House4Rent Nyumba inapangishwa Sinza - Kodi TZS 2Million kwa mwezi

    hilo lichawa litapata wapi hela kama hiyo? Linalipwa buku saba kwa wiki!
  5. The nightwalker

    Napitia kipindi kigumu sana, naomba msaada wenu wana JamiiForums

    ila ukweli mwamba unateseka sana! Ila wahuni tumeshang'amua pointi yako! Unataka uhurumiwe na manzi yeyote wa humu jf!! Sema nini, kakope kamba kwenye duka lililo karibu nawe, then utafute mahali uining'inize hiyo shingo yako huku miguu ikiwa chini ila usijinyonge! Uning'inize shingo tu kwa kama...
  6. The nightwalker

    Hivi kuwashwa sana baadhi ya sehemu za mwili kunasababishwa na nini?

    Dah! Sijawahi kusema hivi ila kwa mara ya kwanza mimi The nightwalker natoa pole kwa mkeo!! sasa hivi hapo alipo anaipata fresh!
  7. The nightwalker

    Wanasayansi Wafichua Dalili za Mwisho wa Dunia!

    usijifanye hujui! mi namaanisha israel anachokifanya ni kizuri? Turning hundreds of childs into orphans, homeless and permarnent disables! Iko sawa hiyo?
  8. The nightwalker

    Wanasayansi Wafichua Dalili za Mwisho wa Dunia!

    mama mchungaji kaa pembeni, usijifanye haujui humu jf kuna baadhi ya member pimbi ambazo hazistahili kujibiwa vizuri!! Hata yesu alimwita Herode mbweha! Je alifanya dhambi? Jibu ni hapana! Na mimi nimemwita pimbi! Mnyama alieumbwa na mungu!
  9. The nightwalker

    Trump aipiga mkwara Greenland (Denmark) na NATO kuhusu vita ya Iran. Iran yasema safari hii itailinda NATO

    unajua Trump anashindwa kujitoa kwenye hiyo vita coz akiacha kidogo tu, Israel itabaki jina tu! Ila amelemewa ile mbaya!
  10. The nightwalker

    Wanasayansi Wafichua Dalili za Mwisho wa Dunia!

    nikuulize kitu mama mchungaji? Hivi israel anachokifanya ni sawa?
  11. The nightwalker

    Wanasayansi Wafichua Dalili za Mwisho wa Dunia!

    waislamu ni waongo! Ila bila kujali dini wala nini, science inaelezea kuwa the big bang bado inaendelea yaani ni kama mwanga ambao bado haujapotea, kama moto ambao haujazimika! Ila at the center of the big bang kuna nguvu fulani ambayo ndo itaua hii big bang then mambo yataanza upya...
  12. The nightwalker

    Wanasayansi Wafichua Dalili za Mwisho wa Dunia!

    sasa huyu pimbi mlevi ametokea wapi na ujinga wake?? Hivi unajua Roma imejengwa kwenye msingi wa uongo na unyonyaji? Pimbi wewe!
  13. The nightwalker

    Trump aipiga mkwara Greenland (Denmark) na NATO kuhusu vita ya Iran. Iran yasema safari hii itailinda NATO

    Huyu mzee anatapatapa kama mfa maji! Anataka asaidiwe kwa lazima vita aloianzisha yeye!! Hii huwa ni dalili kubwa ya kushindwa vita(kutokujiamini)!
  14. The nightwalker

    Hivi hili suala la kuchinja kijamii limekaaje au nani katukaririsha ?

    swali zuri sana! Kobazi yeyote aje kujibu hapa!
Back
Top Bottom