Kenya is going cashless

Kenya is going cashless

Kibongo bongo fee zinaumiza sana..
Mi toka nimeanza kutumia Selcom nimeacha kabisa kulipa cash, hawa jamaa wana bando la mwezi , unalipa 10500, miamala bure mwezi mzima!

Nimejikuta naokoa hela nyingi na hakuna tena usumbufu wa chenji!
Unafanyaje mkuu, yaani unakuwa na nini app au?.
 
Sishangai!! Kenya king'amuzi cha dstv kwenye kifurushi cha compactplus wanalipa jero ya kwao, sawa na buku 5 hukukwetu! Ila sisi tunalipa zaidi ya tsh62000! Hayo yote ni kwasababu ya kodi kubwa wanayowekewa na serikali yetu! Hata mabati kenya ni bei nafuu kuliko huku tz!
 
Kenya is quickly becoming a cashless society. From paying for a matatu ride to buying vegetables from mama mboga or even karanga from a street vendor, most payments are now done through M-Pesa
Huku tatizo makato bado makubwa
 
Nishameshangaa sana mama mboga,muuza karanga mtaani accepts mpesa payment. Future has come too soon bwana!
India hata mtu anaeuza mapera mtaani ana QR code yake unascan una Pay, Google pay pia Iko Kule Lakini pia service kama Tap to pay tayari ziko Kila Mahari huna haja ya kubeba cash
 
Safaricom Kenya na Vodacom Tanzania ni kampuni moja kwa nini hawawezi kufanya Tanzania kama walivyoweza kufanya Kenya?
kila nchi inautaratib wake wa kulipa kodi, kampun za mitandao kwa bongo wamewekewa kod kubwa.
Kodi za bongo usipokaza fuvu unaeza fungasha vilago
 
Kenya inakuwa kwa kasi jamii isiyotumia pesa taslimu. Kuanzia kulipa nauli ya matatu hadi kununua mboga kwa mama mboga au karanga kwa muuza wa barabarani, malipo mengi sasa yanafanyika kupitia M-Pesa
Vizuri sana.
 
1)UNYAKUO wa watakatifu utatokea mapema 2026-2030 ukitangulia kabla ya nuclear war inayofuatia soon..mabomu ya nyuklia yataanza kutumika

2)vita ya tatu ya dunia WWIII

3)Mafuta hayatakuwepo kabisa...watu watatembea kwa miguu,panda magari ya kilukokotwa na wanayama (farasi,punda) ama baiskeli.

3)chapa ya mnyama 666 hutaweza kununua wala kuuza bila kuwa na chapa mkononi ama paji la uso(ufunuo wa yohana 13)
Digital currency,matumizi ya cardless cashless system ,..CHANJO ya lazima ambayo itakuwa na microchip..hiyo chapa ya mnyama itakuwa ndogo very micro nano meter..kupitia chanjo au small scratch...CHANJO MPYA KAMA ILE YA KORONA IKITANGAZWA MSICHANJE HIYO NI CHAPA YA SHETANI..ambayo itakubadilisha thinking yako na roho yako itakuwa mbaya na katili kama shetani itakufanya utawaliwe na shetani ..

4)dhiki kuu duniani
Mazingira tabia nchi kubadilika kuharibika kutokana na adhari za matumizi ya silaha za nyuklia..

HALI YA MAISHA katika kila nyanja kila eneo itakuwa ngumu sana ..kila kitu kitakuwa ni shida.

Tuwe tayari kwa UNYAKUO,ili siku hiyo tusiachwe duniani..LEFT BELOW..(naongea na walioamini wanaelewa maana ya unyakuo ndio huo ..muda umefika)
 
Back
Top Bottom