Kwa wakristu ndoa inaishia kanisani, Haichukui hata masaa ma3, Hakuna wali wala pilau ni wapendanao wa2, Ndugu, Mchungaji na pete, Shughuri imeisha.
Baada ya hapo, ni sherehe ambapo hizo ni mbwembwe zako, ila ukiamua kutoka kanisani kwenda gheto hakuna shida maana cheti unakua nacho kabisa.