Recent content by The mission 2017

  1. The mission 2017

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Fanya yote ila usiwe na mahusiano na mfanyakazi mwenzako kazini

    Mm nishawai date dogo flani kazini, kumbe boss nae anamtaka. Baada ya mwaka ikabidi nitafute chimbo lingine chapu kabla hawajanilipua 😂
  2. The mission 2017

    JamiiForums Tanzania Namba moja na mbili hawapeani mikono; Ndio kama inavyosemwa AU ni dini?

    Sipendi hao jamaa wanao mfata fata na kumzonga. Huo ni uchuro tu sio kuimarisha usalama
  3. The mission 2017

    JamiiForums Tanzania Arusha: Mwenyekiti wa Serikali ya mtaa ajiuzulu kwa kupunguziwa mamlaka ikiwemo kupokonywa muhuri

    Hao wenye viti waridhiti kukosa integrity ya kazi zao. Ndo chanzo cha migogoro ya Ardhi inayo endelea.
  4. The mission 2017

    JamiiForums Tanzania Sitokaa nihudhurie tena kwenye harusi ya dada au ndugu wa karibu upande wa kike

    Wakati mnataja mahari mlikua mnacheka cheka, Acha jamaa afaidi sasa
  5. The mission 2017

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sitamani kuoa kamwe wala kuwa na mchumba kamwe maisha yangu yote

    another satsfied customer 🙌
  6. The mission 2017

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume zikilizeni

    Hii hata wazee wa msingi kiuno inawahusu?
  7. The mission 2017

    JamiiForums Tanzania Said Issa Mohamed aliyeishtaki CHADEMA atimuliwa rasmi Uanachama kwenye chama hicho

    Aende akamshtaki baba yake huko 😂
  8. The mission 2017

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kutofanya mapenzi kwa muda mrefu ni mbaya Sana Kwa Sisi wanaume

    kwahyo seran ana kichupa sio 😂 Watu wabaya sana.
  9. The mission 2017

    JamiiForums Tanzania Kwanini matajiri wengi wakifikisha miaka 60+ huanza kurudi kwenye kilimo?

    Hizo ni biashara ambazo hazina ushindani, Hazihitaji technologia kubwa sana, Ishort ni rahisi kuingia na kutoka. Tofauti sana na biashara kama ya viwanda n.k.
  10. The mission 2017

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ruto: Nimevunja genge la Polisi lililokuwa linatekeleza utekaji

    Just ku aknowledge kua tatizo lipo na maafisa wa Serikali wanahusishwa, inaonesha kweli wewe ni kiongozi.
  11. The mission 2017

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Waepuke wanawake masikini

    Vigezo vyote vinazingatiwa kabla hajaolewa mtu.
  12. The mission 2017

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nina wasiwasi na hii ndoa yangu. Nifanyeje?

    me najua mke ni kama marafiki, they just come around if you are FRIENDLY.
  13. The mission 2017

    JamiiForums Tanzania Baada ya kuamua kwenda kupanga na kujitegemea, chumba chako cha kwanza kilikuwa na muonekano gani?

    Millenial kichwa chao ni kizito sana, hata huku makazini ni wazito mno.
Back
Top Bottom