Recent content by The mission 2017

  1. The mission 2017

    Nawezaje kujiunga Telegram?

    Lipa tu hyo 3300/=
  2. The mission 2017

    Makonda aonya Wanasiasa wanaolenga Urais 2030, aahidi kuwashughulikia wanaomsaliti Rais Samia

    Inamaana Nchi hii ni kosa kuutaka Uraisi 😀, Yaani leo hii mm nikisema ntagombea 2030 inatakiwa nishughurukiwe? Ila Bashite bhana
  3. The mission 2017

    Je mayai na kuku wa kizungu wanafaa Kwa familia ulaji w mara Kwa mara? Au ni ya kubutudikia Kwa wauza chipsi na nyama magengeni

    Ukiacha Antibiotics kama zilitumiwa kuku akiwa ana Taga, Hayo mayai hayana shida. Mbaya zaidi, shida ya madawa iko kila sehemu kuanzia Mahindi, Maziwa, Mboga mboga n.k.
  4. The mission 2017

    Mkiwapima wanafunzi mimba pimeni na bikra mjue walioanza ngono ni kiasi gani

    Sasa mzazi anafanya kazi gani kama mpaka bikra mnataka zipimwe na Mwal.?. Kila mzazi achunge binti yake, msitwishe mzigo waalimu
  5. The mission 2017

    Kama Tanzania tungekua na serikali ya Majimbo, unafikiria ni Jimbo Gani lingeongoza kuwa na Maendeleo hapa nchini?

    Ukiacha ubinafsi wa viongozi hakuna sababu kwa nn hatuna serikali ya jimbo mpaka sasa
  6. The mission 2017

    Uwekezaji wa majengo haulipi

    Tofautisha biashara na uwejezaji.
  7. The mission 2017

    KERO Ajira Mpya Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) hatujalipwa hela ya kujikimu

    Fanya kazi kulingana na hela unayo lipwa, Muda mwingine fanya mambo yako.
  8. The mission 2017

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    5M mshahara, kwani kila mtu ni Mkutugenzi 😀
  9. The mission 2017

    Hivi ni sahihi kwa mwanaume anayejiamini kumuuliza mwanamke, what will you bring to the table?

    Hilo swala hua hatuulizi. Bali tuna pima kimya kimya na kufanya maamuzi, mwishoe utaskia tu vilio
  10. The mission 2017

    Gwajima wa Ufufuo na Uzima aja kivingine. Mkwara wa "kufa mtu"

    Sio kweli, Kanisa lake sio kubwa kuliko TEC, ambapo kitima alifikiwa
  11. The mission 2017

    Kwa Watumishi wa Umma: Kipi Bora Kwako Kama Mwajiriwa? Uchukue Mkopo Mkubwa Kwa miaka 10 au Uchukue Mkopo Kidogo Kidogo?

    Million 60, kwa 10% Riba miaka 10 hyo ni 100% Riba..Ampabo utakua umelipa 120mil 🙄
  12. The mission 2017

    Kwenye hili wakristo mna la kujifunza

    Kwa wakristu ndoa inaishia kanisani, Haichukui hata masaa ma3, Hakuna wali wala pilau ni wapendanao wa2, Ndugu, Mchungaji na pete, Shughuri imeisha. Baada ya hapo, ni sherehe ambapo hizo ni mbwembwe zako, ila ukiamua kutoka kanisani kwenda gheto hakuna shida maana cheti unakua nacho kabisa.
  13. The mission 2017

    Gwajima wa Ufufuo na Uzima aja kivingine. Mkwara wa "kufa mtu"

    Dah kulikua kumepoa sana wakuu. Ila Who is this Guy? Yaani wemgine woote wameufyata mkia ila yeye bado yupo tu 😀
Back
Top Bottom