Recent content by The mission 2017

  1. The mission 2017

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Hao wasenge wakikaa vijiweni hua wanasimulia kabisa, Yule Fala na mgongea. Ukiamia kumuachia huyo demu sasa, kwamba labda jamaa kamzimikia unashamgaa nae hamtaki tena, so ni total distraction tu. Hao wanavo kuja ndivo wanavo pokelewa.
  2. The mission 2017

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Kama alikua Manzi ako tu, Hujaoa wala kujitambulisha. Achana na Mshikaji, hana Kosa.
  3. The mission 2017

    JamiiForums Tanzania Hawa waitaliano wa leo sinywi tena

    Muda wa kwenda kulala mkuu, You are all ready High
  4. The mission 2017

    JamiiForums Tanzania Dunia hii siwezi danganywa jambo nimeyapata maarifa sana kwa njia nyingi sana

    Sijui aise, Kile kilikua chuma sana
  5. The mission 2017

    JamiiForums Tanzania Kwa utaratibu huu, tufunge safari kumuona DG wa NSSF?

    Sikunyingine, Ukiona unacheleweshewa kinyume na katiba, wee tishia kufungua kesi tu. Kama likikua swala la uzembe, wanafanyia kazi chapu.
  6. The mission 2017

    JamiiForums Tanzania Hata kama uko nje ya nchi usiamini sana watu wa karibu ndo wauza Taarifa na kukamatishana

    Mm nilimblock chapu for the peace of mind.
  7. The mission 2017

    JamiiForums Tanzania Rachel Dangwa yuko 'kwenye Mikono Salama'

    Hawezi pewa kesi huyo kama kweli amedakwa. Njia ni zile zile za kina slow...
  8. The mission 2017

    JamiiForums Tanzania Rachel Dangwa yuko 'kwenye Mikono Salama'

    Kwamba mnapandisha kizimbani mpaka vichaa, Ili wakajibu nn?
  9. The mission 2017

    JamiiForums Tanzania Rachel Dangwa yuko 'kwenye Mikono Salama'

    Hata baba yako mzazi kuna ukweli huwezi kumwambia 😀. Lets play smart wakuu.
  10. The mission 2017

    JamiiForums Tanzania Maria Sarungi: Rachel Dangwa hajulikani alipo

    Raisi sana kumu eliminate mtu hizo nchi, Unawalipa Cartels tu wanakufanyia kazi.
  11. The mission 2017

    JamiiForums Tanzania Maria Sarungi: Rachel Dangwa hajulikani alipo

    Sure, Matusi sio harakati.
  12. The mission 2017

    JamiiForums Tanzania Maria Sarungi: Rachel Dangwa hajulikani alipo

    Hakuna Nchi ambapo Kuna Ulinzi wa kutosha kama watu wanakuhitaji. U.S.A yenyewe, Trump alikoswa koswa Risasi kati kati ya Ulinzi mkali.
Back
Top Bottom