Kiongozi wa ccm kuweni makini Na taratibu za chama sheria inamtaka mtu apate wadhamini 30 tu kila mkoa ili kwa mikoa 15 apate wadhamini 450 Na ndio fomu zinavyoonyesha swali kwanini mtu anatafuta wadhamini zaidi ya sheria inavyotaka huo ni ukiukwaji wa makusudi wa sheria za chama ni imani ya...
Jàmàni wadhamini wote hao aliwakuta ofisi ya CCM iringa au kama utaratibu wake wa fomu kutangulia Nyumba kwa Nyumba Na sh.10,000/= kisha yeye wanaenda kukabidhiwa? Fomu ya udhamini ina idadi gani ya wadhamini.au fomu zake ni tofauti Na zilizotolewa Na ccm makao makuu? Mzee kaukania uraisi hata...
Chonde chonde chama cha mapinduzi raisi awe mwandosya/ Jaji ramadhani hao wengine kama mlivyosikia mikakati yao ya kulinda ufisadi hata Mwenyekiti wa time ya kuchunguza RICHMOND
Bwana Lembeli hebu fafanua Lowassa asafishwe kwani amechafuka Na lipi? Na kama ni mchafu mbona mnamshangilia Na kumsifu kuwa anafaa kuwa rais huku mkijua ni mchafu
Eddy hata wewe mafisadi wenu wanataka uraisi wakiongozwa Na papa lao EL mwambie Kinana kajaribu kukata jina EL msikie mziki wake achana Na chama dume cdm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.