Halafu kwanini suala hili huwa linakupanikisha sana wakati wewe ni mama mtu mzima sana kwani unahusika?
hapana kwa sababu umesema kuhusu wake za watu ndo nataka nijue kama mke wako au wewe umetendewa
Halafu kwanini suala hili huwa linakupanikisha sana wakati wewe ni mama mtu mzima sana kwani unahusika?
Mimi nipo tofauti sana na wewe sijui kama anamuogopa ila anachoonesha ni ukweli juu ya uchafu wa mzee Lowasa.
Lizabon mbona unamuogopa sana lowasa na unatumika kirahisi sana katika kumchafua mtu ambaye hata ukienda mahakamani na kufungua kesi dhidi yake uwezi shinda coz huna uthibitisho wowote wa ufisadi wake.
Ninahisi wewe ni mtu ambaye unamrija mpana sana wa kutafuna kirahisi fedha za wavuja jasho katika taifa hili.
Na unahisi huyu mweshimiwa akiingia madarakani hatakuharibia mirija yako coz inaonesha ni mvivu sana katika majukumu yako.
Na kwasababu umewekwa na mtu katika hiyo position ambaye ni mla jasho la wananchi kirahisi kama wewe
Ninahamini wote wanaompinga lowasa kuwa raisi wa hii nchi ni mafisadi PAPA.
Wasira aliwahi kusema kuwa hakuna chma cha mafisadi ila kunamafisadi ndani ya vyama kama alivyo Lowasa kwa ccm na Mzee slaa kwa chadema yote haya ni mafisadi tena mpaka kwa wake za watu.
Wakuu nazani hii nchi ina sheria na taratibu ..je ulishawahi kusikia kesi mahakamani inayomuhusu Lowassa?? Je ,ebu weka document hapa ambayo itatoa uthibitisho wa moja kwa moja kuwa Lowassa ni mwizi
Kama wewe ndo anausongo na wewe kweli, akikamata nchi jiandae kukimbia. Awe mchafu au msafi, lowassa kajipanga. Na hakuna wa kumzuia ndani ya CCM. Poleni magamba, mnalo hilo.Sure mkuu ameanza kuiba akiwa mdogo sana ndiyo maana ilifika wakati anamali nyingi kuliko hata za nyerere ambaye alikuwa Rais wake kwa wakati huo sasa sijui itakuwaje kama kipindi hicho akiwa na mali nyingi kuliko nyerere.
Hahahahahaaaaaaaaa! Hivi kuna fisadi papa nchi hii kushinda Lowasa? Taratibu mkuu. Usilete mzaha hapa. Infact simuogopi Lowasa. Ninamsema wazi wazi na ninamsema kwa mambo ya kweli. Hutaki acha
ufisadi wa Lowasa unaisafisha CCM?Kumbuka alikuwa PM huyu,na mnasema alianza toka junior mpaka mkampa u-MP,do u mean mnafuga wezi?huyu anatamba sana katika mbio za urais.do u mean hamna ubavu wa kudhibiti wachafu kama Chadema kwa Zito?Hahahahahaaaaaaaaa! Hivi kuna fisadi papa nchi hii kushinda Lowasa? Taratibu mkuu. Usilete mzaha hapa. Infact simuogopi Lowasa. Ninamsema wazi wazi na ninamsema kwa mambo ya kweli. Hutaki acha
Asafishwe kwani mchafu
Lembeli, Olesendeka, Mengi, Shelukindo n.k walikuwa mstari wa mbele kuwashambulia akina Jk eti wanawalinda akina Lowassa na Rostam lakini leo ndo watetezi wakubwa wa Lowassa, Siasa ya Tz ni Kama Bongo movies ukimaliza ku watch Futa kichwani usijaze saver