Recent content by THE MAN OF GOD

  1. T

    Natafuta mwanaume wa kuzaa nae

    0684019695 niko hapa. Ila nataka kujua umri wako kwanza.
  2. T

    Natafuta mume

    Nipe namba yako
  3. T

    Meno ya Tembo yakamatwa Uwanja wa ndege Dar...

    Hakuna biashara ya mtu mmoka mahali popote duniani. Huu ni mtandao ambao mizizi take iko kwenye dola. Hapa hatuna viongozi wenye uchungu na nchi hii, wote wameoza.
  4. T

    Trafiki "feki" akamatwa akila vichwa live

    Huu nao ni ubunifu, kinachotakiwa ni jeshi la polisi kujitathmini km kweli wanajua wajibu wao.
  5. T

    Mbatia aibua madudu mitihani darasa la 7!

    Tanzania inahitaji watu ambao watafuatilia sana elimu ya bongo. Najua watu watambeza sana Mbatia lakini watu wa aina yake lazima wasimangwe. Yeye amejikiti hapo na mwingine atafute mahali pengine pa kufuatilia awe maarufu.
  6. T

    Dar: Majambazi yapora na kuua

    Tuongeze maombi tupone. Hakuna amani ya wanadamu tena duniani.
  7. T

    Bungeni: Taarifa ya tume ya kuchunguza matokeo mabaya ya kidato cha nne yasomwa

    Wakirudia kutoa matokeo, mihula ya shule itabadilika? Mambo haya yacfanyike kwa shinikizo la watu fulani.
  8. T

    Lissu, Msigwa, Wenje, Kiwia wafungiwa kuhudhuria Vikao vya Bunge!

    Nadhani wanastahili kufanyiwa hivyo ili mradi kanuni na sheria za bunge zizingatiwe. Heshima ya bunge inapotezwa na wabunge vijana wanaotaka umaarufu bila kujali madhara yake kwa jamii.
Back
Top Bottom