hongera bwn Mbatia kwa juhudi zako ktk kutafutamema kwa Elimu ya tanzania, tangu uanze kusema mimi hukusikia lakini kuna watu wameziba masikio kana kwamba hawasikii na hayawahusu! lakini kizazi hakikomei kilichopo;kuna kinachokuja, na kingine na kingine hivyo mtu yeyote asijidai kuwa wanawe hawaathiriwi na mfumo huu! Taifa ni hili hili letu sote, nani anatujengea jamani! NI SISI wenyewe, tufuateni ushauri ulio BORA, mbona ushauri mbovu kabisa tunaukubali, iweje tunachagua vya kubomoa na tunaacha vya kujenga!
Bwana Mbatia, natamani kuliona swali no.33, na pia jibu lake kama ilivyo kulingana na mtunzi wa swali.