ushamba tu, wengi mnatafsir mwanaume ni kiumbe flani aliyefanana na gogo, why nisiupake mwili wangu mafuta kwa bendera ya uanaume, wagumu komaeni na ugumu wenu, mm sio mgumu, mm ni msela ad msela tena na mafuta napaka mwili mzima
Sema uyo mwamba nahisigi kama ni agent wa kanji iv, ukifuatilia mikeka yake yote uwaga ni uongo wa makusudi na waziwazi. Ametumwa kupoteza watu umu ndani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.