ningependa upinzani ulioungana kwani umoja ni nguvu.ila sijui umimi wa wanasiasa kama watauacha.by the way mnaungana ili kuongeza wanyonge kama hawa jamaa zetu wanavyojinadi au mnalengo la kumkomboa mwananchi?lets pray.
True kiongozi diplomasia ikizorota na uchumi wetu utazorota vilevile nashashauri hata maneno kama haya angeambiwa mkuu wetu akikataa ushauri aambiwe kama umbeya tuu.
Mm pia ni mashoto nilioyasoma hapo mengi ni ya kweli maana hata mmnimetafuta sana tofaut yetu na Wanaotumia kulia hata mtaani na Chuo nilichotoka niliona yanaendana .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.