Duh huu uzi unaonekana umebeba roho nyingi za watu waliopumzika 😔.
Nimechungulia ID's za wachangiaji nyingi hazipo active muda mrefu.
One day kuna mtu naye atasema hivi kuhusu mimi.
Mungu azilaze roho za marehemu wote mahala pema peponi
Tabia nilizo nazo, mwanzo sikufahamu kuwa nipo kundi gani mpaka nilivofika sekondari.
Ni mtu flani wa kujitenga sana nisiependa ukaribu na watu wengi imshort sipo socialized najihisi huru zaidi nikiwa peke yangu.
Si muongeaji sana kama usiponichangamsha.
Sipendi sehemu zenye kubeba wahusika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.