Recent content by The introvert

  1. The introvert

    JamiiForums Tanzania Ngono mbaya!

    Human job true true😂🥂
  2. The introvert

    JamiiForums Tanzania Ngono mbaya!

    Dadeq 😂 Rudisha nanii zetu Nb: Utani tu mkuu ishi kwenye msimamo wako nasi tuachie wetu
  3. The introvert

    JamiiForums Tanzania Je, bado haujafika muda wa Tanzania kuwa na mfumo mmoja wa kidigitali utakaohifadhi nyaraka muhimu?

    Ni kitu simple sana sielewi ajenda kuu za watawala wetu ni zipi haswa
  4. The introvert

    JamiiForums Tanzania Je, bado haujafika muda wa Tanzania kuwa na mfumo mmoja wa kidigitali utakaohifadhi nyaraka muhimu?

    Afrika aliyeturogea viongozi wetu nadhani ashafarikigi kitambo. Inaumiza sana
  5. The introvert

    JamiiForums Tanzania Je, bado haujafika muda wa Tanzania kuwa na mfumo mmoja wa kidigitali utakaohifadhi nyaraka muhimu?

    Kuna namna wizara inayohusiana na maswala ya teknolojia pamoja na ya ajira zitafakari kuhusu hili
  6. The introvert

    JamiiForums Tanzania Je, bado haujafika muda wa Tanzania kuwa na mfumo mmoja wa kidigitali utakaohifadhi nyaraka muhimu?

    JE, HAUJAFIKA MUDA WA TANZANIA KUWA NA MFUMO MMOJA WA KIDIGITALI WA NYARAKA MUHIMU?
  7. The introvert

    JamiiForums Tanzania Je, bado haujafika muda wa Tanzania kuwa na mfumo mmoja wa kidigitali utakaohifadhi nyaraka muhimu?

    Habari za muda huu wanajamvi, Kuna jambo huwa linanifikirisha mara kwa mara,hivi katika kipindi hiki ambacho teknolojia imeendelea kukua kwa kiwango kikubwa, je, haiwezekani serikali pamoj na sekta binafsi kuweka mfumo mmoja wa kidigitali utakaohifadhi taarifa na nyaraka muhimu za mwananchi...
  8. The introvert

    JamiiForums Tanzania Huu uzi ni wa kuweka majina mazuri ya watoto

    Maweed ni Mabange ?
  9. The introvert

    JamiiForums Tanzania Huu uzi ni wa kuweka majina mazuri ya watoto

    Ka Mwamposa Paramagamba Nkomavantu Mwashambwa Lamomy Kingalu Milambo Hangaya Mlilwo Andilile Mwansasu Sweya Sita Yombo Kipara Kingu Tuyisenge Hamenyimana Sadala Mnazi Fungameza Koku Mahenge Kabata Chagulanyi Irankunda Masunga Sengimana Msonjela Lunyili Kigosi Mushedede Embolo Elanga Asanga...
  10. The introvert

    JamiiForums Tanzania Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    Kabisa mkuu ,bora pacome mgonjwa kuliko wachezaji wengine watano
  11. The introvert

    JamiiForums Tanzania Kumbe Profesa Muhongo bado yupo bwana!

    Na kibaya zaidi hataki kukubali kusaidiwa na wenye Phd na profesion zao, anateua watoto wake kuwa mawaziri hahah
  12. The introvert

    JamiiForums Tanzania Kumbe Profesa Muhongo bado yupo bwana!

    Hii nchi aliyewaroga viongozi nahisi ashakufa
  13. The introvert

    JamiiForums Tanzania Kumbe Profesa Muhongo bado yupo bwana!

    Profesa
  14. The introvert

    JamiiForums Tanzania Kumbe Profesa Muhongo bado yupo bwana!

    Cha ajabu hajapewa hata unaibu waziri ,aibu sana hii nchi
Back
Top Bottom