Habari zenu wana JF? Kwa sasa mimi naweza sema nina ufahamu mpana sana juu ya ishu ya mahusiano kwani nilikaa katika uchumba kwa miaka kadhaa na tangu nioe sasa ni karibu miaka miwili lakini kwa hili la huyu ndugu yangu nimeshindwa kulielewa japokuwa ananitegemea mara nyingi sana katika ushauri...
Mwalimu wa ngazi ya cheti(certificate) anauwezo wa kufundisha ngazi yoyote ya elimu ya msingi
Mwalimu wa ngazi ya astashahada(diploma) anauwezo wa kufundisha ngazi yoyote ya elimu kuanzia msingi hadi o-level
Mwalimu ngazi ya stashahada(degree) anauwezo wa kufundisha ngazi yoyote ya elimu...
Ukumbuke unapomzungumzia Yesu humzungumzii mwanadamu! Lakini wewe ni mwanadamu.
Kuhusu hao wajinga uliowataja Nicola,Newton,Leonard & Einstein jiulize ktk maisha yao mbali na hayo waliyoyafanya kwa dunia, wao na familia zao wamefaidikaje? Je kuna raha gani waliyoipata ktk maisha yao ikiwa...
(A)Anazirazira:
1.Ashakusoma unamtetemekea sana, akinuna tu unabembeleza mpaka anajisikia raha.Hakuna asiyependa raha, lazima anune kila siku.
2.Anatafuta upenyo wa kukuacha. Siku akizira usipobembeleza ndo hutomuona tena. Kuhakikisha hili, ebu siku moja akizira nawewe chuna umuone kama...
Maprofesa wenyewe pia wanajua umuhimu wa ndoa, wameolewa Ref. Prof Ndalichako. So kusoma kukikutenga na uhalisia wa maisha, ukaikosa faraja na support ya Mme/Mke basi wewe ni mjinga kuliko wote na elimu itakuwa ndiyo mchawi wako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.