Imefika wakati baada ya kujitathimini na kuona nnatosha kuwa na mwenzi wa maisha nimeamua nije kwa wanajamvi hususani wanawake na niko very serious na hili jambo nimeona nije niliwasilishe kama linawezekana.
Sifa zazangu;
1. Elimu yangu degree ya uhasibu(BCOM IN ACCOUNTING) 2015/2016 ndio...
Habari za muda huu waungwana wa jf
Niende straight kwenye mada...mimi ni kijana nnampenzi wangu(ke) ambaye nnampenda sana lakini tatizo anatoa harufu mbaya ukeni, kitu ambacho kinanifanya nikose raha natumai na yeye anakosa raha pia....tumeenda hospital lakini tatizo bado lipo....ameniomba nije...
simply ukidisco unaweza kuanza mwaka wa kwanza yaani unaaply upya hata kama umedisco ukiwa mwaka wa tatu huu ni utaratibu mpya.....lakini utaratibu wa zamani ukidisco unasubiri wale uliokuwa nao wagraduate ndio uapply
I BLNG 2 JESUS CHRST
Poleni na kazi wakuu ni story ndefu kidogo nina miaka 27, miaka miwili iliyopita nikiwa chuo mwaka wa tatu kuna mwanamke nilimpata naye alikuwa mwanafunzi pia mimi nilikuwa nimepanga maeneo fulani karibia na chuo huku yeye akiwa anakaa hostel niliahidi moyo wangu kuwa sitamsaliti kwa kutembea na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.