Chuo gani??Kijana wa shost wangu amedisco mwaka wa pili hana credits za kuendelea mwaka wa tatu anaweza kurudia mwaka wa pili?
Ndiyo hiyo anapigana nayo wamemwambia akipata credits mwaka wa tatu ataqualify kwa scholarship tena
Arudie mwaka?Kijana wa shost wangu amedisco mwaka wa pili hana credits za kuendelea mwaka wa tatu anaweza kurudia mwaka wa pili?
Impossible,Mwaka wa kwanza alifaulu vizuri sana ndiyo anataka kuomba kurudia kwa credits za mwaka wa kwanza
Ilimtokea ndugu yangu kisha rafiki yangu,kilichofanyika walianza upya kwa vyuo vilevile na kozi zilezile.Shukran Mkuu
Hata Mimi Nakataa Kabisa hawezi akafaulu Mwaka wa Kwanza kwa Juhudi yake halafu mwaka wa Pili Akafeli Masomo matano...... Never Kwa kifupi huyo Mdogo wa Shost wako ni Kilaza Ukweli usemwe na siku zote Watu hawajui Kucheza na ScholarshipImpossible,
May Allah bless Me and You
Hawez kurudia ila anapaswa kuanza UPYAInawezekana kuna yaliyomsinu kichwani lakini ealimuvwake wanataka kumsaidia kulingana na matokeo ya mwaka wa kwanza
Hivi Vyuo Vya Siku Hizi vinaviolate Alumin Yake..... Hakuna Favor kwenye Masomo ya Chuo UDSM hawana huo UjingaInawezekana kuna yaliyomsinu kichwani lakini ealimuvwake wanataka kumsaidia kulingana na matokeo ya mwaka wa kwanza
simply ukidisco unaweza kuanza mwaka wa kwanza yaani unaaply upya hata kama umedisco ukiwa mwaka wa tatu huu ni utaratibu mpya.....lakini utaratibu wa zamani ukidisco unasubiri wale uliokuwa nao wagraduate ndio uapplyMwaka wa kwanza alifaulu vizuri sana ndiyo anataka kuomba kurudia kwa credits za mwaka wa kwanza
Naona hataki kukitaja hicho Chuo hata kidogo hahahah
Ila siyo kwa Course ile ile au Wanaruhus Pia kuapply kwa course ile ile uliyodisco.. Repeaters Wanaruhusiwa?simply ukidisco unaweza kuanza mwaka wa kwanza yaani unaaply upya hata kama umedisco ukiwa mwaka wa tatu huu ni utaratibu mpya.....lakini utaratibu wa zamani ukidisco unasubiri wale uliokuwa nao wagraduate ndio uapply
I BLNG 2 JESUS CHRST
Hata Mimi Nakataa Kabisa hawezi akafaulu Mwaka wa Kwanza kwa Juhudi yake halafu mwaka wa Pili Akafeli Masomo matano...... Never Kwa kifupi huyo Mdogo wa Shost wako ni Kilaza Ukweli usemwe na siku zote Watu hawajui Kucheza na Scholarship
kwa vyuo vya bongo ukidisco inabidi utafute chuo kingine tu uanze upya.
Sasa Mkuu let us be fair. Kweli unaweza kuuliza kitu kwa watu wanaoshare experience ya Vyuo Vyetu wakati huyo unayemuulizia Yupo Mauritius????Ha yuko Tanzania yuko Mauritius ingawa ana full scholarship kutoka bongo