Ivi kwa mantiki ya sheria hii kupiga kura kunaweza kuja mkombozi au kuleta mapinduzi kwa Taifa hili? Kumpa msajili wa vyama vya siasa kuingilia na kupanga nan agombee ni sawa na kusema tuwe na mfumo wa chama kimoja
Pole sana mdau... ila suala unalopitia ni chanagamoto kubwa sana lakin ukiweza kuwa na maamuzi na msimamo wa kifikra ni suala dogo sana... moja ya vitu vya kufanya jitahid kufanya kazi juhudi zote na usiruhusu kuwa na alone muda mrefu peke ako.. naamin unamarafiki na shughuli nyingine zinazo...
Binafsi sioni sababu za kuleta uteam katk hili.. N suala la kiba n diamond tujue hawa ni watu wa wili tofauti hata iweje kiba stl ata kuwa kiba n diamond the same... Cha msingi tusapot mzik mzuri na tuache izo mambo za uteam
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.