Recent content by The Golden Mean

  1. T

    GE2010 Slaa kufyeka wizara, kufuta ukuu wa Mkoa

    afadhali umesema unadhani, kwa sababu hiyo requirement ni ya uraisi tu, kwa VP ni kujua kusoma na kuandika kiswahili AU kiingereza, ndio maana Dr Slaa hajawekewa pingamizi kwa mgombea mwenza hadi leo, otherwise angekua ameshang'oka kwenye kibnyeng'anyiro. tatizo si katiba inasema nini as inatoa...
  2. T

    GE2010 Slaa kufyeka wizara, kufuta ukuu wa Mkoa

    sijui kama Zuma yuko kwenye hesabu ya watu kufanya vizuri au kushika nafasi kubwa? anyway, rumor za mtaani ni kwamba Zuma anaelimu zaidi ya ambayo iko public kwenye mambo ya usalama, so anaweza akawa educated kuliko tunavyojua,
  3. T

    GE2010 Slaa kufyeka wizara, kufuta ukuu wa Mkoa

    asante, mi hesabu yangu ni 21!
  4. T

    GE2010 Slaa kufyeka wizara, kufuta ukuu wa Mkoa

    kama chumvi za habari leo na wamemnukuu Dr Slaa, naomba tusubiri magazeti ya kesho, hasa Tz Daima, Dr akikanusha!
  5. T

    GE2010 Balaa ya hongo Chadema

    kama kweli mgombea wa chadema kapokea rushwa basi watanzania hatuna chetu! kila mtu ajitafutie maendeleo yake tu yaishe, hawa wanasiasa hawana nia njema na sisi, wote!
  6. T

    GE2010 Je ni sahihi waandishi wa habari kutumika kupiga kampeni za chama fulani?

    hamna tatizo waandishi kulalia upande fulani, labda ulalamikie vyombo vya umma, kama TBC na Daily News, hivyo ndivyo vinavyotakiwa kuwa fair, maana ni mali ya walipa kodi wote, ila ITV, Mananchi, Tz Daima na Mtanzania wana haki ya kuwa upande wowote wautakao, na wala hawavunji maadili yeyote...
  7. T

    GE2010 Mjue mgombea mwenza wa CHADEMA

    kama Dr Slaa mwenyewe kakubali kwamba mgombea mwenza ni SDT VII (yaani alivyofika LY akajua ndio mwisho wa elimu) we unataka kubisha ndio kusema unamjua sana au?
  8. T

    GE2010 Mjue mgombea mwenza wa CHADEMA

    jamani naomba tuzingatie kwamba majina yanafanana sana Zanzibar, huyu mwenye masterssio huyo mgombea mwenza wa Dr Slaa, sometimes tukubali ukweli tu kwamba katika mgombea mwenza Chadema wamechemka, maana hata wao wenyewe, kama Dr Slaa anakubali hilo, sasa wewe unayetaka kubisha ndio kusema...
  9. T

    Jerry Muro, wapi alipo?

    afadhali umesema wewe!
  10. T

    GE2010 Uchaguzi 2010: ITV sasa imekuwa chombo cha CCM?

    humjui Joyce, hana weledi wa aina yeyyote, hana tofauti na watanzania wote, tunaangalia matumbo zaidi!
  11. T

    Babu Seya, Papii Kocha wafungwa maisha - Soma hukumu

    muwatete wabakaji, hivi sisi watanzania tumerogwaaaa?
  12. T

    Babu Seya, Papii Kocha wafungwa maisha - Soma hukumu

    sitaki kuamini kama watanzania mnapenda watu waliobaka wasameheewe, basi lisiwe kosa, watu tuwe tunabakana tu tunaendelea na maisha yetu!
  13. T

    Babu Seya, Papii Kocha wafungwa maisha - Soma hukumu

    Bibie, tuna uhakika kwamba babu seya na papii wamebaka, na tunaweza kuwaita wabakaji bila shaka yeyote, mahakama ya juu kabisa ishathibitisha. tatizo watanzania mtu akishakua maarufu tunamfia kabisa, au ndio dawa wanazoendea kwa waganga walikoambia wabake, ndio zinatupumbaza? ushahidi...
Back
Top Bottom