Mimibaba
JF-Expert Member
- Jul 1, 2009
- 4,557
- 1,291
Hii ukiichunguza kwa makini, utabaini jinsi CHADEMA wasivyo makini na hence hawafai kupewa kuongoza.
Si Makini kwa vipi?
Hii ukiichunguza kwa makini, utabaini jinsi CHADEMA wasivyo makini na hence hawafai kupewa kuongoza.
Ila nimefurahi kusikia kitu kimoja -- kwama Chadema ndiyo waliomkabidhi mgombea wao kwa Takukuru. Hivi CCM wammewakabidhi kwa Takukuru wagombea wao wangapi walitoa rushwa? Big up Chadema. You have shown you can really fight ufisadi.
sijui sijaelewa??
Ina maana huyu jamaa amehongwa na kiongozi wa chadema asigombee??
Si Makini kwa vipi?