Recent content by the glassroof

  1. T

    Jinsi nilivyotibika Bells Palsy/Facial Paralysis (Uso kupooza upande mmoja)

    Hongera kwa kushare. Zaidi tumshukuru Mungu kwa uponyaji huo.
  2. T

    Waraka kwa mitandao ya simu (Vodacom, yas, airtel, halotel, etc)

    To me, this is big idea and solution to the needy
  3. T

    STORI YANGU; Nilimsomesha mpaka chuo lakini bado wakataka kunimaliza yeye na Mama yake!

    (c n p) means Copy and Paste? Ahsante kwa kushare. Elimu ni Silaha kwa mwanamke wa kiafrika. Acha wabaki na umaamuma wao Tu. Wazee wetu hawakuwa wakinga aisee.
  4. T

    STORI FUPI: Jinsi ya kutafuta furaha yako

    Hadithi iliyojaa mafunzo. Barikiwa sana
  5. T

    Natafuta majembe yaliyokatika shingo kanda ya ziwa

    Nitanunua yote 100 mapya kabisa, wew peleka kwa fundi wakukatie vichwa. Mi unipe changu, mambo yasiwe mengi maisha ndio haya haya
  6. T

    Sitosahau wema niliofanyiwa

    Mimi pia nimesoma msingi mpaka university hadi napata kazi nikiwa kwenye mikono ya watu mbalimbali na si ndg wa damu. Wapo nilioweza lipa fadhila kidogo maana hata nitoe nini siwezi lipa wema wao hata robo. Wengine hata sijui walipo kwa sasa ila nawaombea kwa Mungu azidi kuwabariki kila...
  7. T

    Nauza godoro la QFL Dodoma 100k

    Au waliosoma Hisabati wanaita Kimo cha godoro.
  8. T

    Tuliotembea mikoa mingi tujuane

    Mikoa niliyotembelea mpaka sasa 1. Geita 2. Mwanza 3. Shinyanga 4. Simiyu 5.Tabora 6. Singida 7. Dodoma 8. Morogoro 9. Pwani 10. Dar es salaam 11. Zanzibar 12. Tanga 13. Kilimanjaro 14. Arusha 15. Manyara 16. Iringa 17. Njombe 18. Mbeya
Back
Top Bottom