(c n p) means Copy and Paste?
Ahsante kwa kushare. Elimu ni Silaha kwa mwanamke wa kiafrika.
Acha wabaki na umaamuma wao Tu.
Wazee wetu hawakuwa wakinga aisee.
Mimi pia nimesoma msingi mpaka university hadi napata kazi nikiwa kwenye mikono ya watu mbalimbali na si ndg wa damu.
Wapo nilioweza lipa fadhila kidogo maana hata nitoe nini siwezi lipa wema wao hata robo.
Wengine hata sijui walipo kwa sasa ila nawaombea kwa Mungu azidi kuwabariki kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.