Recent content by The genius62

  1. The genius62

    Nawezaje kuiokoa familia yangu na mateso ya jini huyu?

    Wew jamaa cjajua ni dini gani ila naona tu hapo visomo na mashehe.. sasa basi nakushauri tafuta huu mwamba wa uzima YESU KRISTO hakuna tatizo lililoshindikana hapo upate tu sehemu sahihi..kua na imani..hakuna jina lingine chini ya mbingu wala popote liwezalo kuokoa zaidi yake..
  2. The genius62

    Ushauri kwa vijana wenzangu

    Hata wew itakua unatumia kizizi ☹️
  3. The genius62

    Do you believe that you run your own life? No brother you are enslaved and mind controlled

    Trust lord Jesus..,he is the only true way of life..,yu’ll never regret it 😇😇
  4. The genius62

    The Inner voice: Sauti ndogo iliyo ndani mwetu ikitueleza kusudi la maisha yetu

    The battle of intuition vs rational thinking., good idea...,!!
  5. The genius62

    Kwa wale introverts, anti social, na shy people maisha yako ya chuo yalikuwaje? Vipi mtaani kukoje?

    Nimepitia uzi wote na comment zote nimeinjoy kukutana na wenzangu japo hata kwa kushare interests..Na nawezaga nikapitia mada nikiona inamlengo wa mabishano napiga chini sikoment chochote.. Nilivyokua nakua sikujua kama kuna kitu cha introverts au extrovert na nahisi ni kwasababu ya uchache...
  6. The genius62

    Kwanini upende sifa?

    sio kwamba ulitaka tuone unatumia iphone x ..hudhani na wew unapenda sifa mkuu ni mawazo tuu
  7. The genius62

    Unaweza kujifunza kitu kupitia mimi

    I like the process nashukur sna bro.
  8. The genius62

    Ulimwengu uliofichika (Mungu hajui nini hatima ya maisha yako)

    Mungu hua ni Mungu wa kanuni..,na hua anatembelea kwenye code za NENO lake so lazima tufate alicho sema kuhusu kuogopa vinyamkela majini wachawi,maisha ni dhahiri haujui Mungu may be unamskia tuu..,maana kwa kujijua mwanadamu ana uungu ndani yake ambao lazima uwe activated na kumjua Mungu na...
  9. The genius62

    Ulimwengu uliofichika (Mungu hajui nini hatima ya maisha yako)

    Ok bro nimeisoma iko vizur lakini kuna mambo kidogo ya kuzingatia...,,kuhusu dini zipo vizur sana ndo maana kuna uislam na ukristo..,ni mfano tuu kuna nyingine nyingi..ukristo kuna kristo mwenyew kama kichwa cha kanisa.., Pia kuhusu namna Mungu ataakavyo wahukumu ambao hawajui chochote kuhusu...
  10. The genius62

    Ulimwengu uliofichika (Mungu hajui nini hatima ya maisha yako)

    Kuwa makini bro karika kupost kwako..,au soma maandiko ndo uposti mambo haya coz unashake imani za watu kumbuka Mungu alitujua tangu asili..,ili kuishi katika kusudi lake ambapo ukipita humo ndo mafanikio yanakuja na baraka zake..,nimesoma thread yako paragraph za mwanzo tu naona unataka...
  11. The genius62

    Nakemea vikali ujinga, uongo, uhuni na utapeli unaoenezwa na baadhi ya JF members

    Then to quit your not yet strong enough..,lengends never argues with haters.., they keep grinding their things
  12. The genius62

    Kifupi sijawahi Kuwa na kiu na sigara nashangaa Sana wanaouvuta sigara

    Yea nikiamka nakula zangu mbili akili inakuwa sawa naelewa mwanaume cku nyingine kutafuta na kujituma.. binafsi sigara nimepiga chini muda mrefu sas na ni negativity iliyo na effect nying kiafya na resources ,time wastage,bad smell,
  13. The genius62

    Hoja; ikiwa roli la 50tons litasimama kwenye daraja lenye uwezo wa kubeba 50tons, Je; daraja hilo litavunjika?

    kuwa wazi kwanza unataka nini...?? pili hilo daraja litavunjika vip na haujaseama kama hilo lorry limeshabeba huo mzgo au la ?? kwa maelezo yako unaelezea lorry lenye uwezo huo ,,,,ilihali halina huo mzigo wa tani 50k
Back
Top Bottom