Ulimwengu uliofichika (Mungu hajui nini hatima ya maisha yako)

Mfumo gani huo?
Mfumo unaowekwa katika dini ni ule wa kutokuuliza ama kuhoji kile unachofundishwa ndicho hicho hicho zinawekwa kanuni na sheria ambazo ukiweza kuhoji ama kuuliza basi unaonekana unakwenda kinyume ama unaonekana ni muasi,

Lakini kumbe madhara yanakuwa ni makubwa zaidi tunashindwa kuelewa na kushindwa kutumia vyema kile Mungu ametupa
yaani yale maisha halisi ambayo mwanadamu aliumbiwa aweze kuyaishi yanakuwa hayapo tena tunakuwa hatuishi maisha yale bali tunaanza kuishi katika mfuko fake kama hivi tulivyo
 
Uksoma vizuri Yesu alikua anajua wanadamu wanawaza nn ndio maana hata yeye alojua kesho yake itakua nn maka kifo msalabani.
Na ukisoma kitabu cha ufunuo utaona kuna idadi ya watakao ingia mbguni kama waizrael makabila 12 na ujumla wao
Sasa naomba hapo udadavue vzr
Pia hapo umeongela mambo ya wakati ujao

Ninalolizungumzia mimi nikwamba Mungu amempa mwanadamu uhuru wa kifikra,Maisha,kuamua,kutenda nk
kila hatima ya maisha yako ameiacha ndnai ya mikono yako wewe uamue ufanye nini
sasa wewe ukishajua uwezo na mamlaka yake kuwa yeye ndio amekupa yote hayo kwaheshima kuonesha yeye ndiye muweza wa yote wewe huwezi kitu ndio unampa sasa maisha yako ili aweze kuyatawala hebu jiulize kama Eva pale edeni angemshirikisha Mungu juu ya jambo analoambiwa na Nyoka unadhani uasi ungetokea?

Maamuzi ya kesho yapoa katika mikono yako mwenyewe ndio maana hata siku yakiama Mungu hakuulizi kwanini ulifanya yale ambayo mimi nilikuandikia anakuuliza kwanini ulifanya hivi mana yake your the final for your wish
 
Kuwa makini bro karika kupost kwako..,au soma maandiko ndo uposti mambo haya coz unashake imani za watu kumbuka Mungu alitujua tangu asili..,ili kuishi katika kusudi lake ambapo ukipita humo ndo mafanikio yanakuja na baraka zake..,nimesoma thread yako paragraph za mwanzo tu naona unataka kuingiza wrong perception katika mindset za watu..,kumbuka kuna watu weak ambao watakubaliana na wew na ukaharibu imani zao..
 
Habari ya yenu ndugu zangu
Naamini muwazima wa afya njema pia poleni na majukumu yaa kila siku

Naomba sana tena sana Ndugu moderator uzi huu hauna nguvu zaidi katika dini hivyo naomba usipelekwe katika jukwaa la dini,
NIlipenda sana niweze kuuweka katika jukwaa lile lingine sema zinachelewa sana kuwa approved ndio maana nauweka hapa,Naombeni tena uzi huu naomba ubakie hapahapa.

Niukweli usiopingika (MUNGU HAJUI NINI HATIMA YA MAISHA YAKO) japo wanadamu tunashindwa kutambua kwasababu ya kutokuelewa nini ile nguvu iliyoko ndani yetu.
Watu wasema Mungu ni muweza wa yote anajua mawaazo yetu anajua haja zetu yaani kila kitu kuhusu sisi wanadamu anajua na kila mtu ataweza kuthibitisha kwa namna yake ya vitabu vyake ama misingi ya dini yake au Imani yake.

Kabla sijawez akukupa sababu za hoja zangu kwanza nakuomba uelewe jambo moja huenda hki nakuambia leo ni jambo jipya kabisa wala haujawahi kulisikia mahali lakini zaidi ya yote unaweza ona kama mim na kufuru ila ukweli unabakia palepale Mungu hajui wew ni wamotoni niwapeponi kesho utafanya nini yain anything about you hajui kabisa.

Sasa nakuomba usipaniki kwanza sababu ya kauli za hapo juu ila nakuomba tulia kidogo umbuza jazba uweze kunielewa sasa.

Kuna baba mmoja anampa mwanaye Shilingi laki moja kwakuwa ameweza kufaulu mtihani wake wa mwisho na kuna mwingine anampa elfu hamsini kwakuwa hakufanya vizuri sana katika mtihani wake wamwisho.
Kesho yake aliyefaulu anachukua marafiki zake wanaenda kufurahia maisha japo kwa mda kuondoa zile stress za kusoma lakini na kufurahia mafanikio yao,
Aliyepewa 50 anajisikia mnyonge kidogo japo ajapo anajipa moyo anayonafasi nyingine ya kutetea heshima yake anaenda kwa baba yake akimuomba amuongezee hela kidogo ili aweze kufanya biashara zingine baba anamuongeza huyu mtoto tena laki mbili sababu ya kuona amefanya maamuzi mema japo mtihani wake wa mwisho hakufanya vyema.

Sasa sikia jambo moja hivi kama Mungu anajua wewe ni wamotoni kwanini aendelee kukuletea wahubiri kila siku kwa ajili ya kukubadirisha wakati anaelewa hatima yako ni ya motoni?
Ingekuwa anajua kweli na anakuletea habari hiyo Naweza sema Huyu Mungu ni Mnafiki, Sio uungwana kabisa najua wewe tumeazimia kukunyonga lakini nakusumbua tu kuendela kukuambia leta utetezi wako, yaani nakutengenezea zengwe ushindwe kujitetea? hapana Mungu hawezi fanya hivyo kama hawezi fanya hivyo Hajui hatima ya maisha yako.

Rudi kidogo katika mwanzo wa uumbaji pale Edeni, Utaona yakuwa mwanadamu Alikwisha pewa mamlaka ya maisha yake yeye mwenyewe binafsi katika mikono yake, Yaani wewe mwanadamu ndio uamue nini utafanya,
Ndio maana Mungu hakujua kama Eva angekula tunda hata walipokula pamoja na Adam bado alipofika akaanza kuita hakujua wako wapi hawa Adamu na Eva Kumbuka Mungu unayesema anajua Kila kitu amejua mwanadamu anafanya jambo linalomgarimu na kuugalimu ulimwengu mzima na hajalizuia sasa tutaamini vipi wakati ameshindwa kulizuia?

Kumbuka hata shetani unapoambiwa alikuwa malaika kule Mbinguni yeye pia alipoanza kuasi Mungu hakujua kabisa
Kumbuka Hata Wale watoto wa Adamu walipouana Mungu anamuuliza Kaini ndugu yako yuko wapi? Ukiendelea mbele utaona Mungu anadai Sauti ya Kaini anaisikia ikimlilia lakini hajui yuko wapi
Vipi umeanza kuja kidogo?

Kwa ufupi hapo totally unaweza kujua yakuwa Mungu mambo mengi hayajui kuhusu Mwanadamu kesho yake hatima yake nk

Nikukumbushe tu kitu kimo kabla sijaendelea kumbuka Shetani hana nguvu ya kumshinda mwanadamu mapepo,majini,vinyamkela nk havina hata uwezo wakupambana na mwanadamu ila sasa mwanadamu kuna kitu umefichwa haujafundishwa ama haujaelezwa na ndio maana unaogopa hata bundi tu likilia kwako.

Sasa NINI NAFASI YA MUNGU KAMA UMEONA HAJUI WALA KUTAMBUA HATMA YA MAISHA YAKO?

Kwanza ule udini na ulokole wako weka pembeni kwanza ili uweze kunielewa vyema usipouweka pembeni utabakia na udini waoko tu.

Wanadamu wote duniani ni watumwa yaani kila mwanadamu ni mtumwa vivyo hivyo kwa viumbe vingine nk
Hakuna mwanadamu aliyehuru kila mtu ni slave to something,someone nk
Ila tumetofautiana jambo moja tu who is your master?
Yule MKubwa wako ndiye anakufanya uonekane jinsi ulivyo sasa

Sasa Nafsi ya Mungu ni ipi?
Mungu anakuhitaji wewe kwa namna hii wewe ndio umpe kibali cha kuongoza your next step, yaani hatua yako inayofuatia ndio ambayo wewe unapaswa kumpa Mungu uhuru na maisha yako
Mungu hawezi kukuingia utaratibu wa maisha yako wakati hata haujampa kibali, kumbuka yule mtoto ambaye hakufanya vyema shule anapewa elfu hamsini lakini anarudi kwa baba kumwelezea juu ya biashara yake ndipo sasa Baba anamuongezea kiasi kikubwa zaidi ya kile hata alichopew aaliyefauli sababu tu Kamruhusu Baba yake na yeye kuwa kitu kimoja katika mipango yake,

Yaani Kama Mungu hua anakuandikia kila kitu sasa wewe leo unaenda bar unaenda kuchepuka unataka kusema Mungu amekuandikia wewe uende bar?
Amekuandikia wewe uende kwa mchepuko? amekuandikia wewe ujinyonge? amekuandikia wewe uanze kupakuliwa? Hapana ni uongo mkubwa hakuna kitu kama hicho

Ila wewe ndio mwenye hatima ya maisha yako uaanamua wewe uwe mtumwa wa nani Unapompa nafasi Mungu ndio unajua anaanza sasa kuangalia hata kesho yako, ndio anawez akakuambia hapo usiende hapo nenda.

Ukielewa Kitu Karma, Ukielewa Sheria na Kanuni za Ulimwengu hili jambo hata sio gumu kulielewa, nakosa lugha rahisi zzaidi ya kueleza ila nikwamba Mungu ni hadi umruhusu wewe aweze kuwa controller wa maisha yako, Usipo mruhusu hata haiwezi kuwa hivyo.

Kwa Mkazo
-Mungu alitupa wanadamu uwezo hata wakujiongoza sisi wenyewe pasipo kuwa chini ya mtu yeyote(Ila kumbuka yeye ndio top anaweza fanya lolote)
-Yaani kuna mfumo ukiweza kuuishi na kuufuata utashangaa hata haulijui kanisa wala msikiti ila siku ya kiama upo vip peponi(kiding)
-Ushawahi jiuliza kabla ya hizi dini kusambaa kote wale wa zamani watahukumiwa na nini? ukiwaza hilo ndio unarudi hapo juu sasa kupata mrejeo kuwa kuna mfumo ambao wanadamu tunapaswa kuufuata.

Kuna mtoto toka amezaliwa yeye hajawahi kwenda sehemu yoyote kuabudu wala kusali ila amekuwa akiishi vizuri na jamii inayomzunguka kadri anavyoendelea kukua jamii nzima inakuwa inamuangalia kwa namna ya pekee kutokana na jinsi anavyoishi na jamii yake vizuri hivyo inapelekea kuishi maisha ya Baraka kubwa mno kutoka kwa watu japo wale wasioelewa wanasema Mungu kambariki no Hapana nikwamba katumia uhuru wake vyema ila sasa anapoenda na kwa Mungu wawe pamoja ndio anafanikiwa zaidi ya hapo awali.

Nitakuja siku nyingine kuelezea uhuru wa mwanadamu ulivyo namna ambavyo unaweza kusihi pasipo kuingiliwa na tawala yoyote uelewe yale mamlaka uliyonayo,
Nikwamba mwanadamu unaweza ukatawala anything and more kuna mengi sana usiyoyajua kuhusu wewe mwenyewe soon or later nitakuja
Pia kitabu soon kinakamilika nilichoelezea kwa upana Mipaka Iliyopo Kati ya Mwanadamu na Mungu namna gani mwanadamu umepewa kuishi mfumo wa kiutawala kutoka kwa Mungu hadi kakiumbe ka mwisho
wewe mwanadam upo kundi gani wapi upo una nguvu gani una nini?

Nimeshindwa kuendelea kuandika sababu ya mda ila next time nitakuja kuongezea nyama kidogo, hapa nimejaribu kuelezea kwa lugha rahisi ambayo walau kila mtu anaweza kuelewa pasipo shida kubwa sana ila ukiwa na swali usisite unaweza kuuliza hapo chini

SEE You Next Time
acha kugonga bangi mkuu
 
Naona mfumo wako umeutaja mwenyewe laws of the universe hi nadhani inachukua muda mrefu kidog
Ndugu haya mambo hautafundishwa shuleni wala msikitini wala kanisani haya utayapata wewe ukiamua kujifunza

labda nikuulize swali moja ili uweze kunielewa vyema unadhani kama Mungu ni mwingi wa huruma kwanini kuna msikule? kuna masikini? kuna magonjwa? watu wanadhulumiwa? watu wanauliwa?
Kwanini Mungu asizuie yote haya? inamaana hayaoni? kama anayaona inamaana anatufania uanfiki?

ukijiuliza hayo maswali juu majibu yake yapo katika laws of the universe ni mfumo fulani Mungu aliweka kuweza kuongoza ulimwengu sasa hapa siwezi anza kukufundisha sababu ni elimu kubwa inahitaji mda waziada kabisa
 
Kuwa makini bro karika kupost kwako..,au soma maandiko ndo uposti mambo haya coz unashake imani za watu kumbuka Mungu alitujua tangu asili..,ili kuishi katika kusudi lake ambapo ukipita humo ndo mafanikio yanakuja na baraka zake..,nimesoma thread yako paragraph za mwanzo tu naona unataka kuingiza wrong perception katika mindset za watu..,kumbuka kuna watu weak ambao watakubaliana na wew na ukaharibu imani zao..
Soma andiko langu mwanzo mwisho sijamkufuru Mungu mimi nimezungumza juu ya ukweli kuhusu kile ambacho Mungu amempa mwanadamu
Laiti ungejua uhuru wako uliopewa na Mungu ungeshukuru kwa kuwafungua na wengine
naomba usome andiko mwanzo mwisho usiishie kwenye kichwa tu
 
Mwenyezi Mungu alituumba, akatukadiria maisha yetu(kuanzia mwanzo mpaka mwisho wetu). akatufundisha mema na mabaya, akatupa Uhuru was kufanya mambo yetu huku akitupa hukmu ya Kila tendo utakalofanya, na akatufundisha jinsi ya kufanya ili kubadirisha kadar alizotupangia Kama ni mbaya(Dua)...hivyo ni juu yetu kuchagua njia tunayoitaka following the consequences
Imeandikwa wap mungu kamfundisha mwanadam mema na mabaya
Ndugu haya mambo hautafundishwa shuleni wala msikitini wala kanisani haya utayapata wewe ukiamua kujifunza

labda nikuulize swali moja ili uweze kunielewa vyema unadhani kama Mungu ni mwingi wa huruma kwanini kuna msikule?kunamsikini?kuna magonjwa?watu wanadhulumiwa?watu wanauliwa?
Kwanini Mungu asizuie yote haya? inamaana hayaoni? kama anayaona inamaana anatufania uanfiki?

ukijiuliza hayo maswali juu majibu yake yapo katika laws of the universe ni mfumo fulani Mungu aliweka kuweza kuongoza ulimwengu sasa hapa siwezi anza kukufundisha sababu ni elimu kubwa inahitaji mda waziada kabisa
Unauhakika kana kama huo mfuma wako ulio ugoogle mungu unae mjua wewe ndio ameuwekaa?
 
Unauhakika kan kama huo mfoma wakoulio ugoogle mungu unae mjua ww ndo ameuwekaa?
Ha ha ha ha ha ndugu labda nikuambie kitu kimoja google huwezi pata kila kitu juu ya ukweli ile ni searching engine tu jaribu kuzungumza na watu utajua wapi pengine pa kupata maarifa
 
Habari ya yenu ndugu zangu
Naamini muwazima wa afya njema pia poleni na majukumu yaa kila siku

Naomba sana tena sana Ndugu moderator uzi huu hauna nguvu zaidi katika dini hivyo naomba usipelekwe katika jukwaa la dini.

NIlipenda sana niweze kuuweka katika jukwaa lile lingine sema zinachelewa sana kuwa approved ndio maana nauweka hapa,Naombeni tena uzi huu naomba ubakie hapahapa.

Niukweli usiopingika (MUNGU HAJUI NINI HATIMA YA MAISHA YAKO) japo wanadamu tunashindwa kutambua kwasababu ya kutokuelewa nini ile nguvu iliyoko ndani yetu.
Watu wasema Mungu ni muweza wa yote anajua mawaazo yetu anajua haja zetu yaani kila kitu kuhusu sisi wanadamu anajua na kila mtu ataweza kuthibitisha kwa namna yake ya vitabu vyake ama misingi ya dini yake au Imani yake.

Kabla sijawez akukupa sababu za hoja zangu kwanza nakuomba uelewe jambo moja huenda hki nakuambia leo ni jambo jipya kabisa wala haujawahi kulisikia mahali lakini zaidi ya yote unaweza ona kama mim na kufuru ila ukweli unabakia palepale Mungu hajui wew ni wamotoni niwapeponi kesho utafanya nini yain anything about you hajui kabisa.

Sasa nakuomba usipaniki kwanza sababu ya kauli za hapo juu ila nakuomba tulia kidogo umbuza jazba uweze kunielewa sasa.

Kuna baba mmoja anampa mwanaye Shilingi laki moja kwakuwa ameweza kufaulu mtihani wake wa mwisho na kuna mwingine anampa elfu hamsini kwakuwa hakufanya vizuri sana katika mtihani wake wamwisho.

Kesho yake aliyefaulu anachukua marafiki zake wanaenda kufurahia maisha japo kwa mda kuondoa zile stress za kusoma lakini na kufurahia mafanikio yao

Aliyepewa 50 anajisikia mnyonge kidogo japo ajapo anajipa moyo anayonafasi nyingine ya kutetea heshima yake anaenda kwa baba yake akimuomba amuongezee hela kidogo ili aweze kufanya biashara zingine baba anamuongeza huyu mtoto tena laki mbili sababu ya kuona amefanya maamuzi mema japo mtihani wake wa mwisho hakufanya vyema.

Sasa sikia jambo moja hivi kama Mungu anajua wewe ni wamotoni kwanini aendelee kukuletea wahubiri kila siku kwa ajili ya kukubadirisha wakati anaelewa hatima yako ni ya motoni?

Ingekuwa anajua kweli na anakuletea habari hiyo Naweza sema Huyu Mungu ni Mnafiki, Sio uungwana kabisa najua wewe tumeazimia kukunyonga lakini nakusumbua tu kuendela kukuambia leta utetezi wako, yaani nakutengenezea zengwe ushindwe kujitetea? hapana Mungu hawezi fanya hivyo kama hawezi fanya hivyo Hajui hatima ya maisha yako.

Rudi kidogo katika mwanzo wa uumbaji pale Edeni, Utaona yakuwa mwanadamu Alikwisha pewa mamlaka ya maisha yake yeye mwenyewe binafsi katika mikono yake, Yaani wewe mwanadamu ndio uamue nini utafanya

Ndio maana Mungu hakujua kama Eva angekula tunda hata walipokula pamoja na Adam bado alipofika akaanza kuita hakujua wako wapi hawa Adamu na Eva Kumbuka Mungu unayesema anajua Kila kitu amejua mwanadamu anafanya jambo linalomgarimu na kuugalimu ulimwengu mzima na hajalizuia sasa tutaamini vipi wakati ameshindwa kulizuia?

Kumbuka hata shetani unapoambiwa alikuwa malaika kule Mbinguni yeye pia alipoanza kuasi Mungu hakujua kabisa
Kumbuka Hata Wale watoto wa Adamu walipouana Mungu anamuuliza Kaini ndugu yako yuko wapi? Ukiendelea mbele utaona Mungu anadai Sauti ya Kaini anaisikia ikimlilia lakini hajui yuko wapi
Vipi umeanza kuja kidogo?

Kwa ufupi hapo totally unaweza kujua yakuwa Mungu mambo mengi hayajui kuhusu Mwanadamu kesho yake hatima yake nk

Nikukumbushe tu kitu kimo kabla sijaendelea kumbuka Shetani hana nguvu ya kumshinda mwanadamu mapepo,majini,vinyamkela nk havina hata uwezo wakupambana na mwanadamu ila sasa mwanadamu kuna kitu umefichwa haujafundishwa ama haujaelezwa na ndio maana unaogopa hata bundi tu likilia kwako.

Sasa NINI NAFASI YA MUNGU KAMA UMEONA HAJUI WALA KUTAMBUA HATMA YA MAISHA YAKO?

Kwanza ule udini na ulokole wako weka pembeni kwanza ili uweze kunielewa vyema usipouweka pembeni utabakia na udini waoko tu.

Wanadamu wote duniani ni watumwa yaani kila mwanadamu ni mtumwa vivyo hivyo kwa viumbe vingine nk
Hakuna mwanadamu aliyehuru kila mtu ni slave to something,someone nk
Ila tumetofautiana jambo moja tu who is your master?
Yule MKubwa wako ndiye anakufanya uonekane jinsi ulivyo sasa

Sasa Nafsi ya Mungu ni ipi?
Mungu anakuhitaji wewe kwa namna hii wewe ndio umpe kibali cha kuongoza your next step, yaani hatua yako inayofuatia ndio ambayo wewe unapaswa kumpa Mungu uhuru na maisha yako

Mungu hawezi kukuingia utaratibu wa maisha yako wakati hata haujampa kibali, kumbuka yule mtoto ambaye hakufanya vyema shule anapewa elfu hamsini lakini anarudi kwa baba kumwelezea juu ya biashara yake ndipo sasa Baba anamuongezea kiasi kikubwa zaidi ya kile hata alichopew aaliyefauli sababu tu Kamruhusu Baba yake na yeye kuwa kitu kimoja katika mipango yake,

Yaani Kama Mungu hua anakuandikia kila kitu sasa wewe leo unaenda bar unaenda kuchepuka unataka kusema Mungu amekuandikia wewe uende bar?

Amekuandikia wewe uende kwa mchepuko? amekuandikia wewe ujinyonge? amekuandikia wewe uanze kupakuliwa? Hapana ni uongo mkubwa hakuna kitu kama hicho

Ila wewe ndio mwenye hatima ya maisha yako uaanamua wewe uwe mtumwa wa nani Unapompa nafasi Mungu ndio unajua anaanza sasa kuangalia hata kesho yako, ndio anawez akakuambia hapo usiende hapo nenda.

Ukielewa Kitu Karma, Ukielewa Sheria na Kanuni za Ulimwengu hili jambo hata sio gumu kulielewa, nakosa lugha rahisi zzaidi ya kueleza ila nikwamba Mungu ni hadi umruhusu wewe aweze kuwa controller wa maisha yako, Usipo mruhusu hata haiwezi kuwa hivyo.

Kwa Mkazo
-Mungu alitupa wanadamu uwezo hata wakujiongoza sisi wenyewe pasipo kuwa chini ya mtu yeyote(Ila kumbuka yeye ndio top anaweza fanya lolote)
-Yaani kuna mfumo ukiweza kuuishi na kuufuata utashangaa hata haulijui kanisa wala msikiti ila siku ya kiama upo vip peponi(kiding)
-Ushawahi jiuliza kabla ya hizi dini kusambaa kote wale wa zamani watahukumiwa na nini? ukiwaza hilo ndio unarudi hapo juu sasa kupata mrejeo kuwa kuna mfumo ambao wanadamu tunapaswa kuufuata.

Kuna mtoto toka amezaliwa yeye hajawahi kwenda sehemu yoyote kuabudu wala kusali ila amekuwa akiishi vizuri na jamii inayomzunguka kadri anavyoendelea kukua jamii nzima inakuwa inamuangalia kwa namna ya pekee kutokana na jinsi anavyoishi na jamii yake vizuri hivyo inapelekea kuishi maisha ya Baraka kubwa mno kutoka kwa watu japo wale wasioelewa wanasema Mungu kambariki no Hapana nikwamba katumia uhuru wake vyema ila sasa anapoenda na kwa Mungu wawe pamoja ndio anafanikiwa zaidi ya hapo awali.

Nitakuja siku nyingine kuelezea uhuru wa mwanadamu ulivyo namna ambavyo unaweza kusihi pasipo kuingiliwa na tawala yoyote uelewe yale mamlaka uliyonayo,
Nikwamba mwanadamu unaweza ukatawala anything and more kuna mengi sana usiyoyajua kuhusu wewe mwenyewe soon or later nitakuja

Pia kitabu soon kinakamilika nilichoelezea kwa upana Mipaka Iliyopo Kati ya Mwanadamu na Mungu namna gani mwanadamu umepewa kuishi mfumo wa kiutawala kutoka kwa Mungu hadi kakiumbe ka mwisho
wewe mwanadam upo kundi gani wapi upo una nguvu gani una nini?

Nimeshindwa kuendelea kuandika sababu ya mda ila next time nitakuja kuongezea nyama kidogo, hapa nimejaribu kuelezea kwa lugha rahisi ambayo walau kila mtu anaweza kuelewa pasipo shida kubwa sana ila ukiwa na swali usisite unaweza kuuliza hapo chini

SEE You Next Time
*Akili za MUNGU hazichunguziki!
*Mawazo yake sii kama ya mwanadamu
*Alitutambua kabla ya kuumbwa kwa misingi ya ulimwengu huu!
*Alikuwepe na ndiye atakayekuwepo

MUNGU ametupa demokrasia ya kuchagua pande tunazozitaka tokea pale tulipojua mema na mabaya! Ila kwa namna moja au nyingine nivyema kumjua yeye vyema kupitia hiyo demokrasia! Kinyume na hapo kuna roho ya uasi inayotuvuta sana wanadamu ili tu tetende dhambi au kuzihalalisha!

*KUMBUKA! MWANADAMU HATA ISHI KWA MAOMBI, ILA KWA NENO LAKE MUNGU!
 
Nipe reference ya maneno yako na huo mfumo mungu ndo ameuwekaa
Ndugu sipo kukuaminisha hapa mimi nipo kukuambia ukweli tu nini nikweli baasi.

ndio maana sio elimu zote utazikuta pale unapojua ni za google tu
 
*Akili za MUNGU hazichunguziki!
*Mawazo yake sii kama ya mwanadamu
*Alitutambua kabla ya kuumbwa kwa misingi ya ulimwengu huu!
*Alikuwepe na ndiye atakayekuwepo

MUNGU ametupa demokrasia ya kuchagua pande tunazozitaka tokea pale tulipojua mema na mabaya! Ila kwa namna moja au nyingine nivyema kumjua yeye vyema kupitia hiyo demokrasia! Kinyume na hapo kuna roho ya uasi inayotuvuta sana wanadamu ili tu tetende dhambi au kuzihalalisha!

*MWANADAMU HATA ISHI KWA MAOMBI, ILA NENO LAKE MUNGU!
Yeah umenena vyema sana na mimi nimekupa kwa upana zaidi hiki ulichokiandika hapa
 
Ndugu sipo kukuaminisha hapa mimi nipo kukuambia ukweli tu nini nikweli baasi.

ndio maana sio elimu zote utazikuta pale unapojua ni za google tu
Ww unaona humu watu wapuuz ivo vitu tumevisoma sana tukakosa reference tukaachana nazo. Hata ivo na mpango wa kwenda 🇪🇬 egypt kwa uchunguz zaid kama huna nisubir mm nikirudi
 
Imeandikwa wap mungu kamfundisha mwanadam mema na mabaya
Unauhakika kan kama huo mfoma wakoulio ugoogle mungu unae mjua ww ndo ameuwekaa?

mkuu jifunze kuandika ukiwa umetulia. na kama kitu hukifahamu ni vyema kukaa kimyaa kujifunza kwa wenzako.

pia usipende kuwa mjuaji kwa mambo usiyoyajua utakosa vingi.
 
Back
Top Bottom