Yaani siku hizi thread za mmu ni za kuumiza watu mioyo tu. sijui kumekuwaje humu....acheni hizo bwana.
Ndoa ni mapenzi ya Mungu. Tuliozipata ni kwa neema tu, sio kwamba tulistahili sana. Hata siku moja tusidharau wasiokuwa nazo.
Mkuu Bujibuji habari yako? Nawewe una kilo ngapi? unataka kupunguwa?
Mh. Mzizimkavu, naweza kutumia nini kingine tofauti na asali ili nipungue? maana mimi na asali hatupatani kabisa.
udsm wanatoa Bachelor of Science in engineering, wakati DIT ni bachelor of engineering. udsm ni designers, dit ni watendaji technicians. huwezi kuwalinganisha maana kazi zao ni tofauti.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.