Mademu wakali!!!

Mademu wakali!!!

Status
Not open for further replies.
Unataka binti mkali awe anakudunda nakoz na kukumwagia uji wa moto?

Nenda Kenya!
 
naona Jf imevamiwa sasa, mwenye ushauri wa tatizo langu tafadhali ani PM
 
Mkoa wenu ndio kuna mademu wakali kwa 7bu na wewe umeönyesha ukali humu kwenye kuchangia
 
Ligha za kitoto ni zipi mkuu,.

Kasome upya uzi wako then utajua. Namhurumia mzazi wako kwa kupoteza hela kukupeleka shule, bora angekununulia pikipiki ukafanya kazi za kusafirisha raia mitaani.
 
Jamani mimi mwenzenu ni mgeni katika ulingo wa malavidavi, naomba mnijuze ni mkoa gani wanatoka totoz wa ukweli ili nifanye maamuzi sahihi na Mungu akipenda tutengeneze familia naye,. Ukitoa na sababu ya chaguo lako nitashukuru zaidi,.
Ohh Poorman Hujambo; Mke mwema na mzuri hapatikani kama bidhaa dukani !! Tafuta mwenye "Faith" atakutimizia Full-mahitaji yako.
Stay blessed.
 
Jamani mimi mwenzenu ni mgeni katika ulingo wa malavidavi, naomba mnijuze ni mkoa gani wanatoka totoz wa ukweli ili nifanye maamuzi sahihi na Mungu akipenda tutengeneze familia naye,. Ukitoa na sababu ya chaguo lako nitashukuru zaidi,.

unasoma kidato cha ngapi.?
 
Kasome upya uzi wako then utajua. Namhurumia mzazi wako kwa kupoteza hela kukupeleka shule, bora angekununulia pikipiki ukafanya kazi za kusafirisha raia mitaani.

hahaaaaaaaaaa mbavu zangu mie...........

atakuwa ametoa msaada wa kutosha kwa raia aisee.........
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom