Wakuu,
Habari za mida hii ! Leo napenda kuuliza juu ya elimu ya ndugu yetu Humphrey Polepole anayehudumu kama Muenezi wa CCM mpya, ambaye awali kabla ya kuja kwenye chama chetu alijizolea sifa kadhaa katika mchakato ule wa Katiba kwa misimamo yake thabiti mpaka kupelekea kuthubutu kutamka...
Khaaaaa ! How old are U ? Yaani ufoji cheti Alafu uchukuliwe Powaa ? Kwa kazi gani nyingi humo Bandarini mpaka ufanisi wa kazi uyumbe ati sababu wamepunguzwa watendaji ? Kwani walivyozaliwa tu wakasoma Bandari college ? Watafukuzwa na hao wapya nao watafundishwa na sababu wamelipa ada na kufaulu...
Hili zoezi halina haja ya kufika 2020. Hii ni issue ya mwaka mmoja tu. Shida nnayoipata ni kwamba mtu amefoji Cheti na amegundulika Kwanini anaishia kufukuzwa tu na sio kushtakiwa kabisa ?
Yeye na prince walifanya kufuru kubwa ya kutaka kununua matokeo ya Ukonga. Baada ya matokeo ya awali kuonyesha kuwa anapigwa chini Prince alipigiwa simu akaja na akataka kuingia ndani wakamkatalia maana hata jimboni walimshangaa anataka kuingia kama nani ? Walimpomtafuta Mwita ili akubali...
Kwani unadhani mpaka anapitishwa kuwa Mteuzi TISS hawajaenda mpaka kijijini kwao ? Unadhani Waziri akimteua ndio yeye kaja na jina lake kutoka nyumbani kwake ? Waziri amepewa tu amtangaze kama formality si ajabu hata Waziri hawajawahi kuonana na hawajuani. Vuta subira, kama atanyoosha kazi...
Machungu yake makubwa alitarajia awe PM lakini akijikuta hata kwenye baraza tu hakuwepo ingelikuwa lile Baraza halina turufu ya Wazee wa CCM angekuwa Mbunge wa kawaida tu huko kwao ambako hawampendi na aliiba kura ili ashinde. Muulize ule mgogoro wa kiwanda cha chai ameumaliza ? Si ajabu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.