Kwa wenzetu wa jirani hapo(Kenya) hii kitu ni legal kabisa.Inauzwa tu kama bidhaa zngine.
Kama ulivyosema hapo juu hii Khat inakufamya unakuwa very Talkative,na unakuwa na very imaginative,hupati njaa,na matumizi ya mda mrefu sana bila limit(concentration n frequncy of use) unaweza kupata...
Naomba kujuzwa kuhusu mirungi/miraa/gomba.Maana nayenyewe arosto yake ikikukamata unakuwa unaoverthink kinoma,unajikuta unakuwa na mipango very sold ones/mipango makini[emoji3][emoji3][emoji3]
Tatizo mnaojibu kwamba kuna maisha baada ya kifo, na baada ya kifo ndipo utajua kusudi la ww kuishi duniani ni lipi-nyote hamjawahi kufa.Mbaya zaidi kakuna aliewahi kufa baadae akafufuka na kutueleza alichokiona huko kifoni[emoji35],hata Yesu alikufa akafufuka ila hakueleza zle cku 3 alikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.