kasi gani kaka?
1. Maji ya dawasco hayatoki wiki ya pili sasa hv!
2.Umeme unakatika kila baada ya masaa manne !
3.Ofisi za umma hakuna nidhamu watu wanajipigia madili tu!
4.Phase One ya SGR mpka sasa hv haijaanza kufanya kazi ,wanabomoa nyumba vingunguti na majumba sita kujenga flyover za...
Kaka
Gari agiza kupitia real motors ya Japan hao sbt au beforwad ni majanga kama ndo mara yako ya kwanza kuagiza gari utajuta...unapoagiza gari usiangalie picha tu ..ulizia car grade?scratch,dent ,accident history ....etc
binafsi mimi ni ubora wa bidhaa ukipigiwa picha bidhaa unaiona nzuri ikifika sasa utatamani kutupa mfano kikuu tanzania
kingine ETA, unapoagiza wanakuambia two weeks baada ya malipo utasubiria 5-6 weeks
cha mwisho kwa online store za hapa bongo ni bei unakuta bidhaa unajua kabisa bei yake ni...
sasa mtoa mada anasema vi canter kama RC wa dar alvyoita IST magari ya kuhongwa, meseji hapa ni kwamba unapotoa mada usiweke maneno ya kejeli,dharau etc
Mbona anasema Vicanter ?unajua yhamani ya brand new canter ww? Au ndo dharau kama za mkuu wako wa mkoa?gharama ya canter moja ni zaidi ya 100ml,wew unatumia gari gani mkuu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.