N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 6,825
- 9,532
Kwa wanaotumia barabara hii ya New Bagamoyo road mara kwa mara watakubaliana nami hawa vijana wanaoendesha vi Canter vinavyosambaza bidhaa za Hill Company ya Mapinga wako so rough...wanaovatake hovyo bila kujali nani anakuja mbele na wako speedy bila uzingatifu...imenitokea kama mara 4 hivi hawa vijana wananinusurisha ajali nalazimika kuwakwepa...uongozi wa Hill kaeni na hawa vijana waambieni wa behave barabarani...hawako juu ya sheria.