Kadili upatavyo pato zaid ya jana, ndivyo matumizi yanavyoongezeka, hata wakiongeza kuwa 20,000/= matumizi nayo huongezeka, bado pesa haitotosha, lakn tujiulize, hivi kama pesa haitoshi toka ilivyoanza kutolewa had leo, je tunaishije sasa? basi na tuendelee kuishi hivyo, pesa iko katka balance...