Recent content by The Cock

  1. The Cock

    JamiiForums Tanzania Polepole apuuzwe kuhusu gesi

    Kwa hiyo pamoja na nchi yetu kuwa mzalishaji wa gesi unaona bei tunayouziwa ni sawa? Hizi kampeni za nishati safi zimewezesha vipi wananchi kununua gesi kwa bei rafiki au mnadhani ukigawa mtungi ndo umemaliza!!
  2. The Cock

    JamiiForums Tanzania Nimepoteza simu Polisi wameshindwa kunisaidia kabisa

    Simu zangu mbili kwa nyakati tofauti nawakabidhi Polisi IMEI hazikupatikana hadi kesho, zaidi wanakusajili na kukuomba uwaachie mawasiliano yako ndo imetoka hivyo! Ifike mahala TCRA wapewe nguvu na wawe na ofisi kila Mkoa wadili na vitu kama hivi
  3. The Cock

    JamiiForums Tanzania Kwa kuwa siasa uchwara zimekithiri michezoni leo naomba Morroco waifungu taifa stars tano bila

    Request granted, prayers answered!
  4. The Cock

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    20:40, NMB jumbe zimeanza kutiririka!
  5. The Cock

    JamiiForums Tanzania Baada ya "nyongeza" E-loan kwenye mfumo wa ESS umezidiwa na kupelekea kufungwa kwa muda

    Mnazingua nyie watu wa mfumo, mnatukwamisha sana! Imagine leo e-Loan haifanyi kazi toka asubuhi
  6. The Cock

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wapinzani Wanaogopa Sana Kukutana Na Rais Samia Katika Sanduku La Kura. Mambo aliyoyafanya ni Miujiza Itembeayo

    Nje kidogo ya mada, naombeni tafsiri ya neno zuzu!!
  7. The Cock

    JamiiForums Tanzania Baada ya "nyongeza" E-loan kwenye mfumo wa ESS umezidiwa na kupelekea kufungwa kwa muda

    Hivi mbn ikitokea fault kwenye Mpese, tigopesa na wengine hushughulikiwa kwa haraka? Leo siku ya ngapi au huko Tamaasemi hawana wataalamu wa kutosha?
  8. The Cock

    JamiiForums Tanzania Matoleo ya baiskeli Tanganyika

    Itakumbukwa pia ndicho kipindi kulikuwa na ushuru wa baiskeli, unakatiwa kipande Ile stika unabandika usibugudhiwe na sungusungu!!
  9. The Cock

    JamiiForums Tanzania Matoleo ya baiskeli Tanganyika

    Exactly
  10. The Cock

    JamiiForums Tanzania Matoleo ya baiskeli Tanganyika

    Tulikuwa na Raleigh migamba miwili!
  11. The Cock

    JamiiForums Tanzania Baada ya "nyongeza" E-loan kwenye mfumo wa ESS umezidiwa na kupelekea kufungwa kwa muda

    Utakuwa udhaifu tu wa mfumo! Wanazikosesha benki mapato na pia kuwakwamisha wahitaji!
  12. The Cock

    JamiiForums Tanzania CWT kuna uchawi gani mabilioni ya wanachama inaliwa bila maelezo?

    Poleni! CHAKUHAWATA makato ni Tsh. 5000/= flat rate bila kujali kiwango cha mishahara.
  13. The Cock

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Yasinta Kafulila naye autaka ubunge jimbo la Kigoma kusini

    Mdogo wake!
  14. The Cock

    JamiiForums Tanzania Dawa ya kuzuia maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yazinduliwa USA

    Hivi Dr. Anthony Faussi miaka ya nyuma nae alikuja na tafiti kama hizi?
Back
Top Bottom