Walizuia ndege mapema 2 kila mtu anavaa barakoa wakati hapa kwetu watu hawavai na mikusanyiko bado inaendelea kwenye daladala bado watu wanajaa mpaka kusimama viongozi wameanza kulaumu vipimo baada kushindwa kulinda raia sasa hivi wanatafuta mchawi ni nani kati vipimo na wazungu
Tarehe 5 Januarii, shirika hilo lilisema kuwa taarifa lilizokua nazo zilionyesha kuwa "hakuna ushahidi muhimu wa maambukizi kati ya binadamu na binadamu''.
Na tarehe 14 Januari, shirika hilo lilituma ujumbe wake wa twitter kwamba uchunguzi wa awali wa Wachina umebaini kuwa "hakuna ushahidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.