Kuna point uliziskia unaona kabisa zilivyo ovyooooo...kila police awe na ghorofa na landcruser, mtoa kauli anajua maana yake kiuchumi na ktk mambo ya ajira za serikali? Ila kuboresha maslahi yao ni jambo sahihi. Ila how? Sio kama ivyo mtoa kauli
Nashangaa , sisi sote ni Watanzania. Uwepo wa vyama vingi haiondoi umoja na Utanzania wetu. Lugha ya muanzisha uzi kuwa wengine ni matapeli ni kwasababu yeye hayuko upande huo, hoja zizingatiwe kwa pande zote. Wanaosema No reform no election wana hoja ukiwa neutral utaelewa..na wanaopuuza wana...
Kwenye siasa inawezekana kabisa , hii inaweza tokea kabisa this time ili tu iaminike demokrasia ipo..kuna majimbo watawala wanaweza wasitumir nguvu ili atleast wapinzani kutoka hasa chauma waweze shinda..lakini itategemea mazingira ya wagombea..yote juu ya yote tunataka wagombea iwe ccm au wapi...
Kwani kuna mtu au taasisi inayozuia uchaguzi? What if wapiga kura wasipige kura au wasijitokeze? Au what if uchaguzi huo kwa chama fulani kikakataa kupigiwa kura? Ndio dhana yao..yani kama wewe ukisema bila hiki sitakula..kweli hutakula ila wengine watakula
Nijuavyo mm hakuna derby ya NBC, ile ya tar 8 walipita nayo bodi ya ligi na simba. Yanga hata isipopewa point haitacheza, kuitisha kushushwa daraja sio tatizo kama wengine wanavyodhani..pia yanga haiwezi kuihofia simba kwakuwa si tishio kwake hata takwimu zinajulikana..hata simba angeshinda ile...
Anaweza kuwa kiongozi mzuri lakn sio aongoze hadi achoke , huko ni kujikosea na matumizi mabaya ya akili na uhuru wa kutoa maini..na kujidharau na kuwadharau watz wengine
Inawezekana kabisa! Naanza kuhisi sisi wengi kwemye nch maskini hatujui kiongozi mzuri ni yupi...maana huyu dogo kuna watu wanasema yuko vema sana ila wengine wanasema ni hatari, kwamba ni kiongozi haijapata kutokea Africa yote iige!!! .alikuwepo wa kwetu nae kuna watu walidiriki kumfananisha na...
Nadhani kuna mambo mengi sana ktk nchi wengine hatuyajui..yani huko utawalani, huko upinzani ktk nyanja za uchumi na usalama. Yani kwa tabu hizi wanazopata hawa viongozi wa upinzani hasa cdm inanifundisha kuwa wapo watu wanaojua kujitoa mhanga, na tupo waoga kama sisi, yani uoga wetu ndio salama...
Bado tuko pamoja na wanajamvi wote!
Kwa ajili ya huduma kazi kwa gharama nafuu kabisa popote ulipo Tz hii.
1) Kukuandalia Mpango wa biashara pamoja na mchanganuo (wewe unaye amini mchakato huu ni muhimu kwa harakati zako za maendeleo)
2) Kukuandalia Pendekezo la mradi wowote na kusaidia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.