Mathayo 19:4-6
Yesu akawajibu, “Je, hamkusoma katika Maandiko Matakatifu kwamba Mungu aliyemuumba mtu tangu mwanzo alimfanya mwanamume na mwanamke, na akasema: ‘Kwa sababu hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mke wake, nao wawili watakuwa mwili mmoja?’ Kwa hiyo, wao si...
Huwezi zuia natural disasters. Kitu cha muhimu ni kutokuishi maeneo ya karibu na huo mlima hasa sehemu inayoonekana ni njia ya maji yatiririkayo kutoka mlimani.
Updates ni muhimu sana kwa dunia ya sasa kwasababu za kimaboresho au security purposes! Kuwa mvumilivu ndugu. Siku ukijua technology inafanyaje kazi utanielewa. Kutokufanya updates utakuwa nyuma ya technology na utakuwa hatarini pia.
Pole sana lakini naomba nikukumbushe kuwa private sectors zina sera zao ambazo wanaziishi ili taasisi zao ziendelee kukua na kuishi.
Kabla hujapeleka mtoto wako shule "X" angalia sheria na sera za shule husika kabla hujapeleka mtoto wako ili kuepusha migogoro isiyokuwa ya lazima kwasababu...
Hivi issue ni gharama za ziada au watoto kutokupata muda wa kukaa nyumbani bila kusoma ??? Nasita kusema wanapumzika kwasababu maana ya kupumzika ni pana sana.
Kuna mkuu wa shuleni sehemu fulani mkoa wa Njombe alikuwa mwanafunzi wa kike akianguka mapepo anamwita mzazi anamkabidhi mtoto wake na kumwambie aende nae nyumbani, siku akiona amepona kabisa na hana hamu tena ya kuanguka mapepo atamrudisha shuleni. Tabia iliisha kabisa.
Anajanaa mwingine kwahiyo anamlia timing ya kumuacha ili akukubali wewe. Kwahiyo kuwa mvumilivu wakati anamtafutia jamaa sababu, the more jamaa yake anavyojitahidi kutokutenda makosa the more utasubiri sana!
Changamoto ni kama ifuatavyo;
1. Wafanyabiashara mitandaoni 90% sio waaminifu.
2. Kutokuweka bei za bidhaa na kuishia kumwambia mteja aje DM au inbox.
3. Picha na bidhaa halisi kukosa uhalisia.
4. Kama bidhaa ikakufikia na ikawa haifanyi kazi vizuri huwa ni kazi kubadilishiwa.
5. Kuna...
Government works on paper! Wewe hizo ratiba za mihula ulipata wapi zote mbili zinazokuchanganya??? Jitahidi kutafuta taarifa sahihi kupitia vyanzo sahihi na kwa wakati sahihi. Muulize mwalimu mkuu wa shule anayosoma mtoto wako atakuambia tarehe ya kufunga na kufungua. Habari za kuchanganywa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.