Katika hali ambayo haikutarajiwa na wengi Donald J Trump ameibuka na ushindi wa kutosha dhidi ya Hilary Clinton aliungwa mkono na Rais wa sasa na baadhi ya marais wastaafu. Kwenye uchaguzi huu kuna mengi nimejifunza hasa kuhusu wanaharakati wa haki za wanawake kwenye nchi za kiafrika. Wanawake...
Huu ukatili umewahathiri sana watu weusi hasa kutoka kenya sikujua kuwa hata watanzania nao pia wanafanya kazi za ndani Oman. Suala hili la huyu binti linatusikitisha wote na ni vyema wanaharakati, vyombo vya habari na dola vikafuatilia jambo hili. hata hivyo nitoe angalizo kuwa hao wanaofanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.