Habar za jumamosi wana-jamiiforums,
Moja kwa moja naomba nishee nanyi kisa kimoja kinachomkuta mtu wa karibu ambaye aliamua kushea namimi hili jambo lake
Huyu jamaa yangu tulikuw pamoja enzi za utoto wetu , sasa huyu jamaa huwa na tabia ya kuota ndoto na mara nyingi hutokea au linatokea jambo...
Dah hatar sana ila nimejifunza kitu, nitamshauri aende huko kwa maombi, japo ni imani tofauti ila nitamwambia kama rafiki yake naamin atanielew maana aliyoyapitia anayajua mwenyewe
Habari za juma pili
Naomba nichukue fursa hii ku-share mkasa mmoja uliomkuta rafiki yangu wa karibu sana kwa jina anaitwa Said.
saidi huyu ni mshikaji wangu niliekutana nae chuo na tukawa marafik wa kubwa tu, kiasi kwamba hadi familia zetu zikaja kuwa marafiki kupitia sisi.
Tulifanikiw kumaliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.