Kipindi nipo Migomigo maskani nasugua benchi kwenye huu msururu wa ajira za kibongo i met few young guys ambao wamepata exposure hapa kibongo bongo. Swali langu kubwa kwao lilikuwa hivi hizi laki kadhaa wanazokutana nazo mara mara huwa wanazifanyia anything productive mf. Kujiendeleza...
Lugha yetu ya kiswahili ni nzuri sana na hatuna budi kujivunia na kuitukuza,ndio lugha inayotuunganisha kama taifa toka enzi za Mkoloni mpaka sasa.
Lakini kwa upeo wangu, lugha yetu ina uhaba mkubwa sana wa misamiati ya taaluma mbali mbali kuanzia Sheria mpaka Utabibu.
Hizo Nchi zinazotumia...
Madawa kama hujavuta ni bora usipime kabisa,nimevuta 3yrs heroine. I thank God am sober for 5 consecutive year kama hujawai kuvuta utaongea maneno mengi sana ila kama ushawahi kugusa ile kitu unabaki unamuombea Mungu muathirika ajitambue one day aquit.
Wanangu niliowawasha magar 90% bado...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.