Siku zote mtu anayezungumza huku anajishtukia ni mnafiki tu tena Unafiki wa kizamani kabisa.Hakuna serikali yoyote duniani inayoweza kuwaridhisha watu wote katika uendeshwaji wake.
Maadili katika kazi yameshuka sana kwa maana hiyo approach ya sasa ya kusimamisha na kufukuza ni ipo katika muda...
Mabadiliko sio kuzungusha mikono,show us kwanza wewe umeshafanya nini ili tukupime unakwenda kufanya nini.katika katiba tu ya chadema hakuna ukomo wa uenyekiti halafu ndio chama cha demokrasia,je nchi utaweza kuiongoza kwa demokrasia?....kachunge ngombe monduli
Wanasiasa ni watunga sera na watendaji ni watekelezaji,kwa maana hiyo uhusiano upo tena ni mkubwa tu.lakini pia tusichanganye siasa haiishii tu katika vyama vya siasa,hata cheo cha waziri au naibu wake ni dhamana ya kisiasa pia.
Kuhusu rais kuwawajibisha wanasiasa ni kwamba lazima kwanza rais...
Salaam,inabidi tufanye utafiti hasa katika jamii yetu ya kitanzania ili tufahamu vyema utashi wetu katika kupambanua mambo.Katika kuridhia kazi ambazo viongozi wetu wamezifanya kuna aina nne za watu
1.Watu wanaosifia kazi bila sababu za msingi.
2.Watu wanaosifia kazi kwa sababu za msingi.
3.Watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.